Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
And you are DEMOCRATICALLY IMMATUREPolitical Immaturity.
And you are DEMOCRATICALLY IMMATUREPolitical Immaturity.
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
wengne wakshameza maneno ya kiingereza mawili au matatu basi tatizo,kila sehemu wanaisi yanakaa.
hahahaaa, hata sauti yake naona imepoteza kujiamini.
Wewe ni mmoja wa wachache mnaofaidi raslimali za nchi hii na kutuacha maskini sisi wengi. Siku zenu zinahesabika mtakapo hama kwa hiari yenu au kufia gerezani.Wajisikie tu wakitaka watoke hata kwenye nchi hii watafute kwa kukaa
They have looked evil in the eye and mocked it. Rigging election is a treason offense tolerating it is participating in it which is also a criminal offense. Thank you Chadema for showing courage and telling Kikwete you are an impostor and a cheat.Political Immaturity.
kwa sasabu hii nchi ni yamafisadi???wajisikie tu wakitaka watoke hata kwenye nchi hii watafute kwa kukaa
Ni machurity ya hali ya juu...Safi sana CHADEMA! Wamezidi kuchakachua ndio dawa pekee next time wataogopa kuchakachua kwani wataona inaleta dosari kubwa kitaifa. Message sent... na doa limeshaingia hata wafanye nini hapo.Political Immaturity.
Political Immaturity.
You are POLITICALLY IN PREGNANCY STAGEPolitically naive!
Ujinga unao wewe, who is you mpk unamuita Lisu,Mbowe,Mnyika,Zitto, etc, wajinga? Wamechaguliwa na wasomi watupu sasa sie wasomi tunachagua wajinga wenzetu au?Tena naomba utukome maana they are doing that on behalf of Tanzanians and not on behalf of Mafisadi. That is what we expected from them and make yourself ready for the next difficult situations to that mama(spika).Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
wabunge wa chadema wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia chadema. The publc is against them and chadema. Tanzania bila chadema inawezekana sana tena sana mara elfu.
Wajisikie tu wakitaka watoke hata kwenye nchi hii watafute kwa kukaa