Wabunge wa CHADEMA watoka nje kususia hotuba ya Rais Kikwete

Political Immaturity.

Yes,they have walked out Kiwete's speech. Is a good move.Keep it up CHADEMA.

Kishongo BIG NO!

THIS IS A POLITICAL MATURITY x 10000000000000000000000000000!!!!!!!!!!!!!!!!

WHAT DO YOU EXPECT FOR CHADEMA MPs TO DO?? DON'T YOU KNOW THAT KIKWETE 'S PRESIDENCY IS THROUGH THE BACK DOOR?
 
That is good. Haiwezekani Giza ya Kiwete Rais wa Tanzania ikae pamoja na Nuru ya Chadema. Sheikh Yahaya hakumtaadharisha mapema kuwa Chadema watatoka ukumbini?

Mwizi ni lazima aumbuke tu.... ataendelea kuumbuka mpaka miaka mitano iishe na baada ya hapo ni haki kufuata mkondo wake .....

Point of Correction: Rais wa NEC!
 
Waondoke na bungen kama vipi tutawaheshimu zaidi awakumbuki jamaa zao cuf walichapa mwendo

Bungeni hawawezi kuondoka kwa sababu wamechaguliwa na wananchi na ni wananchi wanaowawakilisha lakini kamwe hawawezi kuwa makuwadi wa mafisadi.
 
wabunge wa chadema kwa pamoja wametoka nje kususia hotuba ya Rais sasa hivi.


Chanzo: star tv
Bravooooooooooooo!!!!!!! jua kali asidhani kuwa nchi itaendelea kuendeshwa kitapeli kama anavyotaka.
 
Jamaa wamenyanyuka na kuchapa lapa. Hilo nimelipenda kwani ni ishara kuwa wamepinga kauli za spika za utangulizi na yale aliyokuwa anakuja kuzungumza baba jambazi wa kura na mali za umma.

Clip iwekwe you tube mapema ili tuwe na link khe khe kheeeeeee
 
chadema limbukeni wa siasa na mawaza. Kuna wabunge hawana hata diwani wa chama chao kwa hili unategemea nini. They are against their will to Tanzanians. Poor chadema. Kususia hutokea pale tu kama mna nguvu ya wabunge wengi watakao athiri kupishwa kwa sheria yeyote. Kwa sasa ni kupoteza mda. Slaa na Marando wataharibu Chadema.
 
Huko EU watashangaa nyie mna wabunge 45 out of 239 halafu mnasema mlishinda urais hehehe
 
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.

Ndio ukomavuuuu, nadhani hapo JK anahutubia ila roho imamuuma, sese huku sema ujinga.Pale ni bungeni hawezi toa vijembe kama alivyokuwa anaongea na wazee wa dar es salaam. Plale anatakiwa atoe muelekeo wa serikari kwa 5 years
 
chadema limbukeni wa siasa na mawaza. Kuna wabunge hawana hata diwani wa chama chao kwa hili unategemea nini. They are against their will to Tanzanians. Poor chadema. Kususia hutokea pale tu kama mna nguvu ya wabunge wengi watakao athiri kupishwa kwa sheria yeyote. Kwa sasa ni kupoteza mda. Slaa na Marando wataharibu Chadema.

sawaaaaaaaa
 
wabunge wa Chadema, wanakunywa chai pale nje.Jk hana jipya, tutaendeleza juhudi......
 
KIONGOZI BORA HALI MATAPISHI YAKE! GOOD START CHADEMA!

Jamaa atajikanyaga sana Bungeni, mimi bado niko ofisini ila sipati picha anavyochekelea kama kawaida yake!
 
Back
Top Bottom