Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
unapenda sana kutoa maagizo! Sijui kwanini!?
Napenda kutoa maagizo sababu maagizo ndiyo yanayofaa siku zote.Enzi za Mwalimu watu walikuwa wakipewa maagizo na kuyatekeleza ila kwa saasa watu wengi wameuwa wakifanya wanavyotaka wao bila kutekeleza maagizo.
Inawezekana ni tabia yako au ya mwingine kutopenda Maagizo.
Invisible nimekusoma Mkuu,Nilitumia jina lako makusudi ili kuweka mambo sawa sababu wachangiaji waliokuwa wakifuatilia mtiriko kutoka kwako hadi kwa Mzee Mwanakijiji walikuw akienda nje kidogo ya jambo lenyewe!