Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Wakuu
Ni kweli nimesikia kwenye Radio kwamba vitu kama Flash Disk vimekutwa kwa Dr Slaa Na Dr Taarab. Polisi wamesema wanachunguza ili waweze kutoa taarifa kamili.
Swali kwa Dr Slaa na mwenzake Tunataka kujua nani alimwambia kuwa kuna vitu vimewekwa kwenye vyumba vyao?
Kama ni kweli Haya mambo yanatisha?? Tusubiri tuone kinachofuata
Dr. Slaa atakuwa ameambiwa na wale jamaa wa Iaitivee tu coz wao ndiyo hwua wanarekodi mazungumzo ya watu.Plus Boss wao yeye huwa analetewa tu habari kuhusiana na vikao vya siri!