Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Labda ni mtazamo na matatizo yangu binafsi, lakini wivu juu ya uwezo wa mtu kwa kitu ambacho si nje ya mwili, yaani anacho kichwani, mikononi, miguuni au sehemu yoyote katika mwili si kitu chema wala cha kufurahia. Maana hata ukifanya vipi huwezi hata kuongeza urefu wa hata nywele yako.
Lakini kwa upande wa pili, wivu juu ya vitu vipatikanavyo nje ya mwili yaani magari, website au mali kwa ujumla si mbaya sana maana ukiutumia vema unakuletea maendeleo.
Nisivuruge mada, natanguliza samahani, huu ni mtazamo tu!
Lakini kwa upande wa pili, wivu juu ya vitu vipatikanavyo nje ya mwili yaani magari, website au mali kwa ujumla si mbaya sana maana ukiutumia vema unakuletea maendeleo.
Nisivuruge mada, natanguliza samahani, huu ni mtazamo tu!