Dr. Slaa amesema kumkaribisha Lowassa CHADEMA ni sawa kuweka choo chumbani, Dr. Huyu anatakiwa kuweka akiba ya maneno.
Dr. Wilbroad Slaa ni Mroma kwa maana muumini wa kanisa katoliki la Roma, na alikuwa padre wa kanisa katoliki na kwa mjibu wa kanisa hilo Dr. Huyo ataendelea kutambuliwa kuwa ni padre mpaka milele.
Mroma yoyote amepitia mafundisho ya katekisimu na anaelewa kuwa sakramenti ziko saba:-
1. Ubatizo
2. Kumnio ya kwanza
3. Kitubio
4. Kipaimala
5. Upadri
6. Mpako wa mwisho
7. Ndoa
Kwa mjibu wa kanisa katoliki la Roma ambalo Dr. Wilbroad Slaa alikuwa ni muumini wake hadi kufikia kupokea secramenti ya 5 ambayo ni upadri anaelewa wazi kabisa ladda itakavyotangazwa vinginevyo anatakiwa kuishi maisha ya USEJA, kwake maisha ya ndoa siyo halali.
Kwa kuishi maisha ya ndoa naye ni padre mbaya kuliko zote mke anayeishi nae alikuwa ni mke wa mtu inamaana anakula chakula cha mtu mwingine. Chakula kimewekwa mezani kila mtu amehesabiwa lakini Dr. Slaa hajalaribishwa kwenye meza hiyo amejikaribisha mwenyewe na amechukua chakula cha mtu mwingine anakula.
Je! Kwa mktaza huu Dr. Slaa ndiyo wakumwabia Lowassa ni choo chumbani? Na Roma watamwambia yeye ni nani,ndiyo maana nikasema Dr. Huyo ajifunze kuweka akiba ya maneno.
Je! Wakija kufa wote na kwa bahati nzuri wote waende peponi kweli kwa maneno hayo ya choo Dr. Slaa atathubutu kumwangalia Mzee Lowassa usoni? Na akimwangalia basi Dr huyo atakuwa amelaaniwa.
Dr. Wilbroad Slaa ni Mroma kwa maana muumini wa kanisa katoliki la Roma, na alikuwa padre wa kanisa katoliki na kwa mjibu wa kanisa hilo Dr. Huyo ataendelea kutambuliwa kuwa ni padre mpaka milele.
Mroma yoyote amepitia mafundisho ya katekisimu na anaelewa kuwa sakramenti ziko saba:-
1. Ubatizo
2. Kumnio ya kwanza
3. Kitubio
4. Kipaimala
5. Upadri
6. Mpako wa mwisho
7. Ndoa
Kwa mjibu wa kanisa katoliki la Roma ambalo Dr. Wilbroad Slaa alikuwa ni muumini wake hadi kufikia kupokea secramenti ya 5 ambayo ni upadri anaelewa wazi kabisa ladda itakavyotangazwa vinginevyo anatakiwa kuishi maisha ya USEJA, kwake maisha ya ndoa siyo halali.
Kwa kuishi maisha ya ndoa naye ni padre mbaya kuliko zote mke anayeishi nae alikuwa ni mke wa mtu inamaana anakula chakula cha mtu mwingine. Chakula kimewekwa mezani kila mtu amehesabiwa lakini Dr. Slaa hajalaribishwa kwenye meza hiyo amejikaribisha mwenyewe na amechukua chakula cha mtu mwingine anakula.
Je! Kwa mktaza huu Dr. Slaa ndiyo wakumwabia Lowassa ni choo chumbani? Na Roma watamwambia yeye ni nani,ndiyo maana nikasema Dr. Huyo ajifunze kuweka akiba ya maneno.
Je! Wakija kufa wote na kwa bahati nzuri wote waende peponi kweli kwa maneno hayo ya choo Dr. Slaa atathubutu kumwangalia Mzee Lowassa usoni? Na akimwangalia basi Dr huyo atakuwa amelaaniwa.