Tanzania Daima wanapiga propaganda nao
Unajua wanachokilalamikia zaidi ni kwamba JK amekuwa akiachia mambo yanatokea na wakubwa wenzie wanatoa maamuzi fulani halafu ye anakuwa against na wao pamoja na kuonekana walikuwa pamoja mwanazoni, hivyo kuonekana kigeugeu. Unakumbuka habari ya Jairo na Luhanjo? Posho ambayo PM alisema JK ameshasaini? Halafu hii ya muswadaJK ana kazi nzito mbeleni kwa style hii!!hivi Posho zingepitishwa hawa wabunge wangeandaa haka kamgomo baridi??
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
Kwani hiyo habari ipo kwenye tanzania daima tu mkuu?mbona hautaki kusumbua ubongo wako hata kidogo??amka kumekucha
Nitashawishika kama habari hii itakuwa na kwenye magazeti mengine! Tanzania Daima linakuwa kama gazeti la Uhuru sasa
sio bouna ni bona=good.Hakuna propagandum hapa Don Masanilo,ata Mwananchi Jumapili lina content kama hii....aya ni ya kweli mkuu!!!buona dominica patre
Pekua Gazeti la Mwananchi la leo...vp Fr?au J'pili imekuchanganya kwa makusanyo madogo ya sadaka?fuga ata nguruwe kama mradi...utajiongezea kipato!Christus Semple
sio bouna ni bona=good.