changa la macho hilo....hivi habari sio za ukweli ni uzushi. wabunge wa CCM hawajawa na ujasiri mkubwa kiasi cha kumchambua rais
hii I'd pia inatumiwa na mama Rwakatale
I thought this comment is from a sensible person but from a demented old woman, so sorry!!!
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
Aah Kummbe ni ww mgonjwa wa akili! Nilifikiri ni sensible person ameandika ujinga huu, lkn baada ya kuona ni ww, basi nikasamehe kwani ugonjwa wako hauna tiba.
Alahaaa kumbe FF ni ID ya Mama Rwakatare???!!
Sio siri Jk umetuondolea aibu ya hawa wabunge wa ccm na usirudi nyuma fanya ambacho watanzania wote wanakutegemeaRais kikwete amegundua kwamba wabunge wa chama chake ni wachumia tumbo na wababaishaji,hivyo ameona heri afanye jambo ambalo angalau watanzania watamkumbuka.
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
hata wewe si kanjanja tu unatofauti gani wewe mhimili wa mafisadi??Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.