Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Sanctus espiritus
ora pro nobis
Sanctus espiritus
Inawezekana ukawa upotoshaji kweli, sasa si wewe utwambie kilichosemwa cha kweli ni kipi? Au ndio ubishi wa kurithi huo kwasababu tu unachokiona sio unachopenda kukiona?Ni upotoshaji na hisia binafsi za mwandishi , siyo kilichosemwa na wabunge hao.
ora pro nobis
Nilisoma habari hii kwenye Tanzania Daima ya jana lakini niliona kama watu walikuwa hawana uhakika nayo just because ilikuwa imeandikwa na gazeti lile. Sasa nilipoisoma kwenye hili pia nimeanza kujiuliza mara mbili................ I kinda believe it!
Hahahahaaa kwahiyo unataka kusema msingi mkubwa wa maelewano kupungua ni ulaji?Wabunge wa CCM wanamgomea Rais kwa sababu naye aliwagomea kusaini nyongeza ya Posh!!. Acha wakomoane, wakoboane, wavuane magamba na ngozi lakini mwisho wa vita vya panzi kunguru ( wananchi) ndio tutafaidika. Mfumo uliowekwa na Masisiem wa kutawala kwa posho na kudai rushwa, utawatokea puani safari hii!
Mzee mwenzangu umeona eeh? Unajua kawaida ukisikia kuna kikao cha wabunge wote wa CCM pale bungeni ujue kuna kitu hakiendi sawa ama wanataka kuwa na maazimio ya pamoja na huko ndiko mambo yanapotokeaNilikuwa mmoja wapo! Naona wazeewa CCM wameanza kubalehe sasa
Mchungaji vipi tena? Malaria Sugu kakusilimisha nini? Aliyekuwa anaogopwa ni Nyerere tu!Duuuh acha ushabiki sidhani Kama hii habari Ina ukweli! Kuna siagi mingi hapo. Ni MCC yupi wa kumgomea mwenyekiti wake? Usimeze kila kitu
Deus est Magna!
Tanzania Daima wanapiga propaganda nao
Kwaiyo unamaanisha huyu ni mama rwakatare?hii I'd pia inatumiwa na mama Rwakatale
Tanzania Daima wanapiga propaganda nao