Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
wabunge wapenda posho hawawezi kumtabiria anguko rais
leo katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa kwa ccm,mwnyekiti wa ccm mh jakaya kikwete amesema amepokea maoni mbalimbali juu ya sheria ya kurekebisha katiba.ametaja makundi kadhaa yaliyopeleka mapendekezo ya kubadilisha sheria hiyo,mojawapo ya makundi hayo ni ya chama cha mapinduzi.amesema ccm imepeleka mapendekezo manane.sasa hapa utajiuliza ilikuaje wabunge wa ccm kupitisha muswada huu kwa kishindo huku wakiwa na mapendekezo nane?hapa ndipo ninapowashangaa wabunge wa ccm kwa kuendekeza ushabiki bungeni.
Sina uhakika kwa hili kwani hawa ndiyo walio itesa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa Wabunge, Uchadema wao unajionyesha katika lipi ???"Hii ni dhahiri kuwa marekebisho haya yanaiumiza CCM na kuisimika Chadema madarakani. Kuwaondoa Ma-DC kwenye mchakato wa katiba na kuweka wakurugenzi wa wilaya ambao wote ni Chadema, hatuwezi kukubali kamwe," kilieleza chanzo chetu.
Hakuna lolote walilo lijadili kwenye huo mswada zaidi zaid walispend muda mwingi kuwasimanga CHADEMA na LISSU wake Wangelikuwa wanajadili sheria hiyo mapungufu hayo wangeliyaona mapema Hadi leo Rais ameyaona wanajifanya kumgomea Hivi kwa hali hii tutafika 2015 salama kweli"Sisi tumekaa hapa (bungeni) kwa zaidi siku mbili na akili zetu timamu, tukapitisha muswada ule, anakutana (Kikwete) na Chadema dakika chache anatuletea marekebisho! Hiyo ni dharau na hatuwezi kukubali," alilalamika mbunge mmoja.
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
Aaah kumbe habari za makanjanja. Nilifikiria umetoa kutoka chanzo cha kuaminika.
Ukitaka kujua hasira za wabunge wa magamba ww gusa posho zao tu wataanza kuzomea humo bungeni kama watoto vile,kikwete piga chini wote wanaotaka kukupelekesha kisa posho,hii nayo kali FF kumbe ni id ya mama Lwakatare si angejiweka wazi tu kuliko kijificha kumbe mchangiaji mzuri tu humu JF afu akienda bungeni anajifanya kuichongelea JF yetu,ni bora awe busy na kurudisha kondoo wake zizini kuliko kuangaika na majabari
JK ni mwanasiasa mjanja, mwenye uwezo wa kuona mbali sana...
Wakati mwingi amekuwa akijitofautisha na wabunge wa chama
chake kwa kuwa wamekuwa wakitenda katika namna ya kukitia
hasara chama, posho ni jambo ambalo wananchi wengi wanalipinga
sana kwa vile tayari wabunge wanakipato kikubwa sana, hivyo kujiongezea
posho ni kuongeza gap kati ya wananchi na CCM.
CDM walipotoka bungeni hali ya amani nchini ilikuwa ni tete sana, ilikuwa
ni busara sana kwake kukutana nao ili kuepusha shari...alifanya jambo jema
kwa manufaa ya taifa wabunge wa CCM walishupalia ushabiki ambao ungeliingiza taifa
katika machafuko... BIG UP JK!!!