MGANGA WA KIENYEJI
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 521
- 170
umeweka wazi kiwango cha busara ulichonacho
id yako inaonyesha tosha wewe ni rafiki wa nani wewe pia sio muislam maana uislam safi haukubali uganga wakienyeji kwikwiwkwiwkiwkwiwkwiwkiwkwiwkwiwkwiwkwiwki toa kwanza kibanzi pwiwpwiwpwiwpwiwpiwpwiwpwwpwiwpwiwwi
'Islam is a religion of peace' then unasema 'Be warned' why should you be mshari namna hiyo? Khaa! Sijui ukoje wewe!
kwa nini mlimtuma yule mtoto amshawishi mwenzie akikojele kama alivyosema mtoa mada.
HIVI NA WEWE UNAJIITA MUUMINI WA DINI YA KIISLAMU UNAYOTAKA TUAMINI NI YA AMANI? MBONA KAMA UNA DALILI ZOTE ZA WACHOMA MAKANISA AMBAO HAWATAKI KUAMBIWA WAMEFANYA KOSA BALI WANATAKA KUSIKIA LAWAMA ZOTE AKIBEBESHWA MTOTO ALIYEKOJOLEA KURANI? KWA HUYO ALIYETOA KURANI IKOJOLEWE YEYE HANA KOSA? NA ALIYETOA MADAI YA KUGEUKA NYOKA NA KUMWAPIZA MTOTO ALIYEKOJOA, JE HUONI KOSA LAKE? Cha muhimu Waislamu waliozingira kituoa cha polisi hawakuwa na sababu ya kufanya hivyo. Walipaswa kuacha dola ifanye kazi yake.
HIVI MNATAKA BUSARA YA KUWARUHUSU MSHAMBULIE TU UISLAMU NA WAISLAMU. NAFIKIRI LABDA TUNA TAFSIRI TAOFUTI YA NENO BUSARA.
MIMI NI RAFIKI WA WOTE WANAOPENDA AMANI DUNIANI. MIMI MGANGA WA KIENYEJI, NINAO WAPA WATU TIBA MBADALA. ISPOKUA TU SIFANYII MAMBO HAYO MADHABAHUNI KAMA WAGANGA WENGINE WANOONA IBADA NI KUWANYA WATU WAANGUKE KISAIKOLOJIA MADHABAHUNI KISHA KUKUSANYA FEDHA.
Yule mtoto hakutumwa bali walizidia ana hekima katika kujieleza, kama unavyoo ona hapa kwenye jamii, wengi wenu mngefanya hivyo hivyo kwa kosa hoja za kujitetea.
Alhamdulilahi, mimi ni Muislamu, tatizo lilitokea pale Waislamu walipo mchukua mtoto kwa busara na kumpelekea mzazi wake, na kumeleza nini mwanae amefanya. MZAZI NDIO ALICHOCHOE YALIO TOKEA SIO MTOT BAADA YA KUFANYA LILIE KOSA. MZAZI AKASEMA, NILIDHANI AMEUA MTU KUMBE AMEKOJOLEA MSAHAFU. KUTOKA HAPO KILICHOTOKEA NDIO HILI TUNALO JADILIANA KWA SASA. SASA NANI ALAUMIWE???.