LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,119
- 27,123
Kuna video inasambaa kwenye makundi ya whatsap na instagram ambapo ndani yake wanasikika watu wanao jitambulisha kuwa wao ni waislamu wakiapa kwamba kijana anae daiwa kudhalilishwa na Paulina Gekul ambae ni muislamu lazima haki yake ipatikane na kwamba waislamu hawatakubali kuona haki ya kijana huyo inadhulumiwa.
Kwa maelezo yao wanasema kijana huyo amedhalilishwa kwa kuwa ni muislamu.
Wanasema sababu ya kudhalilishwa ni kwamba amehisiwa kutumika kufanya mambo ya ulozi kwenye hoteli ya Paulina Gekul. Wanadai zaidi kwamba watu wasio kuwa waislamu ( dini yao imetajwa) wengi wao wamekuwa na mtazamo hasi kuhusu waislamu na uislamu kwa kuwahusisha kwa.mfano na habari za majini nakadhalika na kwanba kitendo cha kijana huyo kufanyiwa unyama ni kielelezo cha chuki dhidi ya uislamu na waislamu.
Nadhani Soon mtamsikia Profesa Mazinge anaitolea tamko...
Paulina Gekul and ur co please zungumzeni na huyo muhanga myamalize off-judicial.
Kwa maelezo yao wanasema kijana huyo amedhalilishwa kwa kuwa ni muislamu.
Wanasema sababu ya kudhalilishwa ni kwamba amehisiwa kutumika kufanya mambo ya ulozi kwenye hoteli ya Paulina Gekul. Wanadai zaidi kwamba watu wasio kuwa waislamu ( dini yao imetajwa) wengi wao wamekuwa na mtazamo hasi kuhusu waislamu na uislamu kwa kuwahusisha kwa.mfano na habari za majini nakadhalika na kwanba kitendo cha kijana huyo kufanyiwa unyama ni kielelezo cha chuki dhidi ya uislamu na waislamu.
Nadhani Soon mtamsikia Profesa Mazinge anaitolea tamko...
Paulina Gekul and ur co please zungumzeni na huyo muhanga myamalize off-judicial.