Vurugu: Polisi na wanachuo wa Tumaini Makumira

kwa kwli leo ni maombolezo tu,nasikia nyimbo za parapanda,ni huzuni kubwa kwa kweli,Polisi wamekuja kututimua tena ndani na wameondoka na maiti,ngoja tuendelee kuomboleza,Emmanuel Ulomi Rest in Peace.
 
jamani,polisi wamesikia sauti za watu kuomboleza,wameanza tena kupiga mabomu,mimi niko dispensari,kwa kweli hali ni mbaya kama wataendelea,leo patatokea maafa zaidi...
 
Tumepoteza msomi mmoja na wale wanaojaribu kutafuta haki kwa niaba yake wanapigwa mabomu na risasi! Hakika Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana.
Pole kwa wafiwa, lakini lazima tutafute njia mbadala za kakabiliana na ukandamizaji ya Ccm, Kikwete na serikali yao.
 
kwa kwli leo ni maombolezo tu,nasikia nyimbo za parapanda,ni huzuni kubwa kwa kweli,Polisi wamekuja kututimua tena ndani na wameondoka na maiti,ngoja tuendelee kuomboleza,Emmanuel Ulomi Rest in Peace.

poleni sana mkuu polisi wa bongo hawatumii akili kabisa badala ya kukaa na kuangalia source ya tatizo wao wanakuja na gesi za machozi na risasi,where is humanity!?
 
I am being honest kwa maandiko haya naomba Mungu akuonyeshe kwamba kugongwa au ajali si lazima uwe umelewa .Umekashifu naomba uwe mzima ila ushuhudir dada yako au kaka yako tumbo moja agongwe au mama au baba yake afe then utajua nini maana ya mtu kupoteza maisha kwa kugonjwa .Pale shuleni kuna watu kuvuka njia so na madereva wao so rough anaweza kuwa alikuwa anavuka akagongwa .Unawatete polisi wa CCM ? Naomba kabla jogoo hajawika upewe somo la nguvu.
Naunga mkono hoja... Au yy mwenyewe ff abondwe na gari akatwe mguu na mkono kabisa

lakini asife
 
sasa sijui watatulizwa na nani maana wao ni amri ya jeshi tu na kwa utaratibu wa chuo ni ngumu kutambua huyu ni mhadhiri,huyu ni mkuu wa chuo na huyu ni nani,naomba aje hata mkuu wa mkoa awaondoe maana suala la kutuliza watu wasiomboleze ni gumu.
 
Taarifa: nasikitika kutangaza ban ya FaizaFoxy iliyotokea leo majira ya saa 5:30 usiku. JF ilitoa, JF imetwaa jina lake lihimidiwe.
 
hili kosta lilikuwa lina overtake land kruza hadi top,wakati linakuja jamaa hakuliona na gari aliyo iona yeye ni hiyo kruza,kwa hiyo wakati analivuka,ghafla akagongwa na hiyo kosta iliyokuwa ina pita upande wa pili...
 
hivi tufanyeje ili tujengewe matuta hapa?,maana kwa muda nilio kaa tu,nimeshuhudia wanachuo wawili wanagongwa,wakwanza alinusurika ila huyu wa leo kafariki,Tan road tuwekeeni matuta hapa tafadhari.
 
Kuna mgojwa hapa tunashindwa kumpeleka hospitari,mguu umeumia vibaya,polisi wameweka beria asitoke mtu yeyote eneo la chuo.
 
Lazima mmewarushia mawe ndio maana wanawakwida.NASIKIA UDSM MABIBO WAMEANDAA MAANDAMANO ATI KUPINGA WENZAO KUFIKISHWA MAHAKAMANI HIYO KESHO.WASOMI WA NAMNA HII BORA WAFUKUZWE CHUO KABISA WAWE WAPIGA DEBE MAANA WAMECHOKA SHULE WANAPOTEZA HELA ZETU.

Ukiwa chuo cha kudai inakubidi udai usidhani utaletewa tu. Elimu ya F ya 30 inakusumbua mkuu
 
Kuna mgojwa hapa tunashindwa kumpeleka hospitari,mguu umeumia vibaya,polisi wameweka beria asitoke mtu yeyote eneo la chuo.

Kwa hiyo wanataka huyo mgonjwa afie huko?

Je kuna kiongozi yeyote wa serikali au jeshi aliefika hapo?
 
Kuna mgojwa hapa tunashindwa kumpeleka hospitari,mguu umeumia vibaya,polisi wameweka beria asitoke mtu yeyote eneo la chuo.
huo unaoendelea ni unyama tu jaribuni kutumia gate la juu ikishindikana wapelekeeni huyo mgonjwa man.
Na hiyo maiti hakikisheni kuna mtu kasindikiza lasivyo mwaweza ikuta kesho haija wekwa kwenye makabati na kesho mapema watu waende mochuari kuhakiki na awekwe vizuri.
Poleni sana naujua jinsi inavyo uma kwani ni tarehe kama hii mwezi uliopita mzazi wangu aligongwa hapo Danishi
 
kwa kweli polisi wametanda kuanzia leganga hadi kilala,na mgonjwa anahitaji pf3,inasikitisha sana,kapewa first Aid hapa chuoni na kapelekwa kupumzika kesho ndo yafanyike mengine,jamaa wakihisi ni wana chuo tu,wanapiga risasi hewwani na kupiga mabomu ya machozi,tumenawa mpaka tumechoka sasa...
 
Mabomu ya machozi hawayapigi hewani wanatulenga nayo hawa makuzi#hainaga kuwira
DSC00369.JPG
 
mapaka sasa,hakuna kiongozi yeyote aliye fika na kwa hali hii,ninawasi wasi kama asipokuja kiongozi yeyote wa serikali kuahidi kuweka hizi bams,kesho watu wana funga barabara tena...
 
Back
Top Bottom