Hawana risasi hizo...Watatumaliza,kwani wanashindwa kuzungumza na hao wamachinga ili wawaeleze kwa nini hawataki juhama?
hapo police unaowatetea ni kama manyang,au tu. Kwani wameambiwa kla ktu kuua 2?Kama imelazimu, silaha za moto zitatumika. Hilo ni jambo la kawaida.Muhimu ni kulinda amani ya walio wengi dhidi ya wakorofi wachache.Tuwaunge mkono vyombo vya usalama kwa usalama wetu, si kulaumu kwa haja potofu.
habari zaidi zinasema idadi ya walipigwa risasi na kufa hapo hapo ni watu wa5. Nashindwa kuwapa pcha kwani nipo na sehemu mbaya.
Nakushangaa unauliza jibu! hivi hujui kuwa meya na madiwani wengi wa mwanza ni cdm? unategemea nini?
Vyovyote vile polisi hawana haki ya kuua rai...Nimesikiliza SupaMix EA Radio, chanzo kinasemekano mgongano wa maamuzi kat ya madiwan wa CCM na CHADEMA kuhusu mahali pa wamachinga kufanya Biashara, hivyo wamachinga wamekuwa njia panda kujua wapi waende.
Lengo lako ni kusikia ina uhusiano basi ngoja nikuambie NDIO INAUHUSIANO umefurahi sasa eeeh watu wengine bana akili fupi ka mkia wa mbuzi.Hii kitu inahusiana na maelezo ya Dk Slaa ile juzi? nakumbuka member mmoja DAUGHTER alimwambia Dk Slaa kwamba jiji la mwanza chafu,vioski kila kona, taka nyingi, maachinga kibao, nae akafanya follow-up na akaongea na watendaji na akatupa update!! Vp hii ya leo ina mahusiano yoyote na Ile ya Dakta?? safisha JIJI??
FF mbona jeuri sana!