Wewe ni mpu. mbavu. Watu wamepoteza maisha yao kwa kuuliwa wewe unaleta maelezo ya kijinga namna hiyo? nadhani hata huyu aliyekuajiri uje kuleta upupu wako hapa JF naye akili yake inatia shaka.Nakushangaa unauliza jibu! hivi hujui kuwa meya na madiwani wengi wa mwanza ni cdm? unategemea nini?
Wana jamii nimesikia kuna vurugu kubwa zimetokea mwanza na inasemekana kuna watu watatu wamepigwa risasi na polisi.
kama kuna watu wenye habari zaidi atujulishe.
Nimesikitika sana kwa taarifa hizo........na mbaya sana viongozi wetu hawajali. Lakini nasikia harufu ya ukombozi kwa taifa hili.......muda mchache ujao. Mungu yuko upande wetu. Poleni sana ndugu zangu wa mwanza.
Duh, hii nchi inaelekea wapi? Ndio wameshindwa kuwaondosha bila ya kutumia silaha za moto?
Tunaomba picha ikiwezekana
Wanaendelea kuua tu bila kujali,hivi kumuondoa machinga inahitaji mabomu na risasi?
Mkuu tatizo hapa tunasolve long term problem kwa short time solution...Acha ndoto za mchana Kbd.
Ukombozi wa Tz ulishafanywa na TANU.
Kilichobaki kwako chapa kazi halali ujenge nchi, si kubwabwaja upuuzi.