Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe.
Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola.
Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike.
=======
Pia soma mdau huyu aliyekumbushia kuhusu sakata la Wamachinga Mwanza:
Sakata la Wamachinga na mgambo Mwanza lilishia wapi? Walipewa maeneo au walirudi barabarani?
Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola.
Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike.
=======
Pia soma mdau huyu aliyekumbushia kuhusu sakata la Wamachinga Mwanza:
Sakata la Wamachinga na mgambo Mwanza lilishia wapi? Walipewa maeneo au walirudi barabarani?