Kamuulize Pinda, Mkuu nadhani atakusaidia jibu kama Mkoa ni jina au kitongojimkoa jina tu, nitajie mkuu wa mkoa wa geita au knye bunge la budget umesikia budget ya mkoa wa geita?
Si huyu ndiye aliyewaita raia waliouawa Nyamongo kuwa ni majambazi? Sishangai kabisa.Nimeshangaa kusikia naibu waziri wa mambo ya ndani aliposema hakuna aliyekufa katika vurugu kati ya polisi na wamachinga, mwanza. Nimeogopa wakati kuna walio mwanza wanadai wapo walio kufa katika vurugu hizo.
Jibu basi Geita ni Mkoa au Wilaya?..hoja yetu sio majimbo ya uchaguziusipotezee ..... umechemka......sijataja wilaya ... nimetaja baadhi tu ya majimbo ya uchaguzi ya mkoa wa Mwanza ambayo huunda councils tatizo la ukilaza hili ... eti mkoa wa mwanza ni Ilemela na Nyamagana puke .... disparity of the mental order elimu ya ngumbaru hii
Jibu basi Geita ni Mkoa au Wilaya?..hoja yetu sio majimbo ya uchaguzi
Jibu basi Geita ni Mkoa au Wilaya?..hoja yetu sio majimbo ya uchaguzi
Mkurugenzi wa mwanza bwana KABWE ni tatizo sana,mkuu wa mkoa hana shida ila huyu mkurugenzi ndiye tatizo,WABUNGE WA CHADEMA walishashauriana na mkuu wa mkoa walishakubaliana ila tatizo huyu bwana KABWE.
Na hili nalo watasema chanzo ni CHADEMA!!!!!! wapeni vijana haki yao!!!!!!!!!
Nakushangaa unauliza jibu! hivi hujui kuwa meya na madiwani wengi wa mwanza ni cdm? unategemea nini?