Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,110
- 128
We acha kukurupuka hili suala la machinga na polisi halijaanza leo, mwaka 2006 kuna wengine waliuwawa sasa unataka kusema nini. Wewe unachofanya humu ni kuichafua cdm tu.Sio ugomvi wa polisi na Machinga, CDM, wanausika wao ndio wanaongoza Mkoa wa Mwanza wameshindwa kuwaondoa machinga