LEARNED BROTHER
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 548
- 735
Jamani hiyo ya kuunga namba moja ambayo unakatwa sh.75 hebu tuelewesheni na sie wengine tuifahamu ili kazi iwe kwetu, kupiga tuuu mwaa mwiii.
We shs 150 sio 75.
wewe hawawawezi tigo
sina hakika kama nikitoa njia itakubari maana nahisi kila line ina njia yake ya kujiunga kwasababu line yangu moja najiunga kwa kupiga *802*1*number ya simu# na line nyngne najiunga kwa kupiga *801*1*number ya simu# na dogo pia ana njia yake ya kujiunga na nishampa mtu ikakataa so jaribuni kama itakubari mtaniambia
Jamani sasa hivi Voda wako juu. Kuna jamaa wao fulani nilikuwa naongea naye akikanifundisha kuwa ukitaka kupata promosheni zao zote na jinsi ya kujiunga unapiga **149*01#. Nilikuwa nasumbuka sana na hizi network za kufa uwongo.