WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,610
- 3,738
Jamani binafsi kila mara nimekuwa mhanga wa wizi wa Vodacom. Una unga kifurushi cha siku 7 kinaishw ndani ya muda mfupi sana.
Leo nipo safarini, saa 11:05 nika ungq kifurushi cha MB 1480 cha siku 14 kwa Tshs 3000/.
(Binafsi siyo mpenzi sana wa movie wala Youtube). Na nyie ndg zangu ni mashahidi wa hali ya Network uwapo safarini (on road) nchini Tanzania Ni ON/OFF kutokana na mapori na mawimbi safarini.
Hivyo sijatumia ku download video , wala youtube au wala nini? Ni kusoma updates tu blog, pages, nk. Hata link hakuna niliyo fungua.
Ila ilipofika leo hii hii mchana saa 8:01 ikiwa pia nili jiunga leo saa 5:05 asubuhi, Vodacom waka nitumia sms (Habari, MBs za kifurushi cha Ya Kwako Tu zimeisha. Kununua kifurushi kingine tafadhali piga 149*01#.). Nika shangaa. Ikabidi nihakiki kwa kupiga 149*60# (Ndugu J**: Salio Muda wa Maongezi: Akaunti Kuu Tsh 0.24. Kifurushi:dk 756 sek 38 mitandao yote SMS 9995 dk 756 sek 38 mitandao yote mpaka 2023-02-24 12:32:00.
SMS 9995 mpaka 2023-03-16 22:38:11).
Nimechoka na huu wizi wa makusudi.
Nimejaribu kuwapigia Customer Care Vodacom 100 waka nieleza Ujinga tupu! Mara Ohhh umetumia MBs zote, Mara Oohh Voda ina speed sana! Speed ya NYOKO! 2015 hadi 2020 internet ilikuwa vizuri tu. Ila toka 2021 ni Majanga.
Waziri Nape Nauye hana msaada wowote, kazi kuvuta posho tu. Hawa TCRA ndio buree kazi kuvuta rushwa tu.
Dunia ya sasa internet ni kila kitu iwe biashara, utendaji wa Ofisi, Ufanisi wa Mifumo mbalimbali ya taasisi, na Elimu kufikiwa kwa Wepesi. Ila Tz imekuwa tofauti.
Pia nitumie fursa hii kuiomba TISS kuchunguza Uraia wa Wakurugenzi wa Vodacom Tz, Airtel Tz na wengine, huenda ni hujuma kwa Taifa.
TISS na Vyombo vyenu fanyeni Auditing ktk mitandao hii hasa, wizi wa pesa, salio, MBs, dk,nk. Tanzania ilindwe.
Kama TCRA na Waziri mmeshindwa kuiongiza hizi mitandao ya Simu.
Leo ombi langu kwa Mama Samia Suluhu Hassan, chondechonde, kupitia hili dirisha dogo la Maboresho yako ya.
Watendaji tuondolee mizigo wa Mawaziri, Makatibu Wizara ya Habari na Mawasiliano na Mtendaji Mkuu na Katibu wake TCRA.
Leo nipo safarini, saa 11:05 nika ungq kifurushi cha MB 1480 cha siku 14 kwa Tshs 3000/.
(Binafsi siyo mpenzi sana wa movie wala Youtube). Na nyie ndg zangu ni mashahidi wa hali ya Network uwapo safarini (on road) nchini Tanzania Ni ON/OFF kutokana na mapori na mawimbi safarini.
Hivyo sijatumia ku download video , wala youtube au wala nini? Ni kusoma updates tu blog, pages, nk. Hata link hakuna niliyo fungua.
Ila ilipofika leo hii hii mchana saa 8:01 ikiwa pia nili jiunga leo saa 5:05 asubuhi, Vodacom waka nitumia sms (Habari, MBs za kifurushi cha Ya Kwako Tu zimeisha. Kununua kifurushi kingine tafadhali piga 149*01#.). Nika shangaa. Ikabidi nihakiki kwa kupiga 149*60# (Ndugu J**: Salio Muda wa Maongezi: Akaunti Kuu Tsh 0.24. Kifurushi:dk 756 sek 38 mitandao yote SMS 9995 dk 756 sek 38 mitandao yote mpaka 2023-02-24 12:32:00.
SMS 9995 mpaka 2023-03-16 22:38:11).
Nimechoka na huu wizi wa makusudi.
Nimejaribu kuwapigia Customer Care Vodacom 100 waka nieleza Ujinga tupu! Mara Ohhh umetumia MBs zote, Mara Oohh Voda ina speed sana! Speed ya NYOKO! 2015 hadi 2020 internet ilikuwa vizuri tu. Ila toka 2021 ni Majanga.
Waziri Nape Nauye hana msaada wowote, kazi kuvuta posho tu. Hawa TCRA ndio buree kazi kuvuta rushwa tu.
Dunia ya sasa internet ni kila kitu iwe biashara, utendaji wa Ofisi, Ufanisi wa Mifumo mbalimbali ya taasisi, na Elimu kufikiwa kwa Wepesi. Ila Tz imekuwa tofauti.
Pia nitumie fursa hii kuiomba TISS kuchunguza Uraia wa Wakurugenzi wa Vodacom Tz, Airtel Tz na wengine, huenda ni hujuma kwa Taifa.
TISS na Vyombo vyenu fanyeni Auditing ktk mitandao hii hasa, wizi wa pesa, salio, MBs, dk,nk. Tanzania ilindwe.
Kama TCRA na Waziri mmeshindwa kuiongiza hizi mitandao ya Simu.
Leo ombi langu kwa Mama Samia Suluhu Hassan, chondechonde, kupitia hili dirisha dogo la Maboresho yako ya.
Watendaji tuondolee mizigo wa Mawaziri, Makatibu Wizara ya Habari na Mawasiliano na Mtendaji Mkuu na Katibu wake TCRA.