Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
- Thread starter
- #341
swali dogo tu nauliza...
hivi vita vya Tz na uganda nini haswa chanzo chake mpaka tumefikia kupigana?
maana kinachonishangaza!!! ukiangalia film ya vita hii kuna sehem wajeda wa tz walionekana kitaani Entebe wakiwa pamoja na wajeda wa UGANDA.
sasa ndo najiuliza tulikuwa tunapidgana na nani?
Soma vizuri hiyo historia yangu utaelewa mengi,Hata hivyo sijaelewa bada nini shida yako kuhusu vita vya kagera!!!!