Kuna tetesi niliwakusikia kutoka kwa mmoja ya askari aliyewahishiriki vita ya kagera kuwa Jwtz commando unit waliwahifanya rescue operation kwa raia wa Tz waliokuawametekwa na waasi wa Sudan miaka ya 1980's.Inadaiwa wtz hao waliwatoroka waasi wa sudan na kujificha kwenye misitu ya upande wa Uganda ndipo wakajaokolewa na Jwtz. Mwenyekulifahamu hili anaweza kutujuza
mkuu,akili yako imekubali hili?