Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
hivi jina la Black Mamba lilikuwa la kamanda gani vile? nyie kipindi hiko ndio mlikwa wazalendo kweli haswa, lakini leo hii jeshi letu imejaza akina Shimbo (Matrilionea)
Alikuwa Brigadier Walden.