Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Ile kauli ya hasira na kisasi aliyoitoa Rais Kikwete tarehe 5 feb 2011 pale Nyerere Square wakati wa kusheherekea kuzaliwa CCM ambapo kwa hasira alisema...."...natamani kuhamisha shughuli za kimataifa Arusha ..." imeanza kudhibitika kuwa ni kweli..
Katika hali iliyoshangaza hata watu wa protocal wa jumuia ya Afrika mashariki....serikali ya Tanzania bila kutoa sababu ,waliwaeleza kuwa mkutano ulioanza leo ambao ulikuwa ufanyike Arusha ,makao makuu ya jumuia ya Afrika mashariki ,unafanyika DAR..Taarifa za kijasusi zinaeleza kuwa watu wa protocal wa nchi wanachama hawakupenda mkutano ufanyike dar ....hasa kutokana na usumbufu unaotokana na msongamano wa dar ambako ni kitovu cha biashara......hasa ikizingatiwa kuwa wakiwa Arusha huwawia rais kwa maafisa usalama wa nchi wanachama kuratibu vyema uwepo wa marais wao.....taarifa tulizonasa zinasema ,kama hali ikiendelea hivi wanatarajia kurudisha hoja ya kuhamishia makao makuu ya afrika mashariki nchi nyingine..kwani inaonekana Tanzania hawataki nafasi hiyo na wanaelekea kuitelekeza Arusha yalipo makao makuu ya jumuia...
Wachambuzi wa mambo wanachukulia hatua ya Kikwete kuchukia Arusha ghafla na kuwa tayari kuweka rehani Arusha kama mji wa kimataifa kama ni tabia mbaya na ya kisasi kufanywa na mkuu wa nchi........watu kutoka Kenya wanajiuliza kama angekuwa rais kwao angefanyaje kwa watu wa Nairobi ...ambao hawakumpa Kibaki kura ..lakini mara zote Kenya ilikuwa mstari wa mbele kutetea ofisi za kanda za UMOJA WA MATAIFA zilizopo GILGIL ,NAIROBI zisihamishwe kama adhabu ya vurugu za baada ya uchaguzi,,,,,na wameendeelea kupiga ndogondogo kuwa makao makuu ya jumuia yahamishiwe Nairobi.....
Ushauri wangu kwa wananchi kwa ujumla wetu na hususan wakazi wa Arusha ni kuhakikisha mnapaza sauti kuhakikisha chuki na visasi vya kisiasa visigharimu nchi kwa kupoteza nafasi ya Arusha kam Geneva ,of Africa..kwa kuwa haya maneno ya kusudio la kuwabagua aliyaongea Rais hadharani na tunaona anaaza kutekeleza kwa kuinyima Arusha fursa zake..za kimataifa ...kuna umuhimu wa wazee wa Arusha na wa Tanzania kwa ujumla kumfuata Rais na kumueleza wazi kuwa chuki za kisiasa na visasi havitakiwi kutufikisha huko......ili kutoa fursa kwenye nchi kuna migawanyo ndio maana kwa mfano ukienda afrika kusini kuna makao makuu ya serikali,bunge,biashara ,etc...miji ya pretoria,johanesburg,capetown etc kila mmoja una role yake .....hapa kwetu pamoja na kuwa kwenye katiba haipo ...tunajuwa kuwa ...dar es salaam ni mji wa kibiashara,dodoma -serikali,na Arusha -makao makuu ya jumuia na mashirika ya kimataifa...ni muhimu kupinga mbinu yeyote ya ku undermine eneo kwa ajili ya visasi....kwani ni muhimu tuweke Taifa mbele!!!
Mungu ibariki Tanzania!!!!
Katika hali iliyoshangaza hata watu wa protocal wa jumuia ya Afrika mashariki....serikali ya Tanzania bila kutoa sababu ,waliwaeleza kuwa mkutano ulioanza leo ambao ulikuwa ufanyike Arusha ,makao makuu ya jumuia ya Afrika mashariki ,unafanyika DAR..Taarifa za kijasusi zinaeleza kuwa watu wa protocal wa nchi wanachama hawakupenda mkutano ufanyike dar ....hasa kutokana na usumbufu unaotokana na msongamano wa dar ambako ni kitovu cha biashara......hasa ikizingatiwa kuwa wakiwa Arusha huwawia rais kwa maafisa usalama wa nchi wanachama kuratibu vyema uwepo wa marais wao.....taarifa tulizonasa zinasema ,kama hali ikiendelea hivi wanatarajia kurudisha hoja ya kuhamishia makao makuu ya afrika mashariki nchi nyingine..kwani inaonekana Tanzania hawataki nafasi hiyo na wanaelekea kuitelekeza Arusha yalipo makao makuu ya jumuia...
Wachambuzi wa mambo wanachukulia hatua ya Kikwete kuchukia Arusha ghafla na kuwa tayari kuweka rehani Arusha kama mji wa kimataifa kama ni tabia mbaya na ya kisasi kufanywa na mkuu wa nchi........watu kutoka Kenya wanajiuliza kama angekuwa rais kwao angefanyaje kwa watu wa Nairobi ...ambao hawakumpa Kibaki kura ..lakini mara zote Kenya ilikuwa mstari wa mbele kutetea ofisi za kanda za UMOJA WA MATAIFA zilizopo GILGIL ,NAIROBI zisihamishwe kama adhabu ya vurugu za baada ya uchaguzi,,,,,na wameendeelea kupiga ndogondogo kuwa makao makuu ya jumuia yahamishiwe Nairobi.....
Ushauri wangu kwa wananchi kwa ujumla wetu na hususan wakazi wa Arusha ni kuhakikisha mnapaza sauti kuhakikisha chuki na visasi vya kisiasa visigharimu nchi kwa kupoteza nafasi ya Arusha kam Geneva ,of Africa..kwa kuwa haya maneno ya kusudio la kuwabagua aliyaongea Rais hadharani na tunaona anaaza kutekeleza kwa kuinyima Arusha fursa zake..za kimataifa ...kuna umuhimu wa wazee wa Arusha na wa Tanzania kwa ujumla kumfuata Rais na kumueleza wazi kuwa chuki za kisiasa na visasi havitakiwi kutufikisha huko......ili kutoa fursa kwenye nchi kuna migawanyo ndio maana kwa mfano ukienda afrika kusini kuna makao makuu ya serikali,bunge,biashara ,etc...miji ya pretoria,johanesburg,capetown etc kila mmoja una role yake .....hapa kwetu pamoja na kuwa kwenye katiba haipo ...tunajuwa kuwa ...dar es salaam ni mji wa kibiashara,dodoma -serikali,na Arusha -makao makuu ya jumuia na mashirika ya kimataifa...ni muhimu kupinga mbinu yeyote ya ku undermine eneo kwa ajili ya visasi....kwani ni muhimu tuweke Taifa mbele!!!
Mungu ibariki Tanzania!!!!