Hahaaaa. utakwea tu kaka. Maana sisi wengine mpaka leo tunaendelea kukwea mapipa ndani na nje kwa hisani ya makampuni tunayofanya kazi na si kwa kulipa nauli zetu toka mfukoni. HahahUlinitangulia mwaka, mi nilikuwa mwaka wa pili ila 'Ngwine' mpaka leo sijawahi kupanda ndege...ila mwaka huu ntajitoa kimasomaso japo nikwee Fast Jet