Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,050
Aite watu ambao wako kwenye field husika ndio aongee nao wamhoji sio hao maaskofu na elimu zao za theology.Kwa mawazo Yako unafikiri mtu akiitwa padre au askofu basi atakuwa amesoma dini TU. Usije kusimama mbele ya maaskofu ukatamba na kadigrii Kako kamoja ka uchumi au kilimo utajua hujui.
Najua kuhusu hao watu na nmesoma shule zao so najua uw3zo wao