Viongozi wa chadema wanapotoa kauli za kutaka kuwafurahisha mbowe na slaa?

kapime choo au la sivyo una kaswende haki ya mama ...tena kwa sasa imefikia ubongoni mwisho wa ugonjwa huu ni kifo au ku mtu ku-cameron
 
Mtoto wa Mbale you have deserted my wealth,for sure i just wanted to remind these people about maji marefu and he dared to declera before the honourable speaker that he manged to be in the house because he got mutual support from his fellow witch doctors.
better to quit from this post
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.

Thinking aloud using MASABURI!
wewe umetumwa na Magamba
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
Wewe kakojoe ulale acha porojo za kimagambamagamba hapa.Wewe vurugu zilianza kwa mgambo wa jiji wakiongozwa na kilaza mwenzao anaitwa Mwakatobe darasa la pili lakini jeuri sana.Wao wanajifanya wanasafisha jiji wakiwanyang'anya wamachinga bidhaa zao wanaenda kuhonga mahawara zao sasa watu wakidai haki zao Sugu yeye anahusika nini?Sasa wametumia nguvu na rasilimali kwa kukosa akili halafu matokeo yake huyu mbunge ambaye unamdharau ndiyo ametoka Dodoma kuja kuwatuliza na hiyo serikali yako ya mkoa imekubali kuwarejesha kwenye maeneo yao ya biashara hadi hapo watakapowatafutia eneo mbadala.So what kind of analysis are u trying to bring up here rather than nonsensical magambaz type of hypocrice?
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.


Kazi mnayo kupingana na ukweli. Mtazaliwa na kufa wengi sana.
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.


Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, una vitundu kwenye ubongo, subiri tutakupeleka India ukatibiwe,

LEADERS ARE ....BORN, MADE, ..........MALIZIA BASI, SI LAZIMA UINGIE DARASANI,
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.

Wewe ni kinyesi kipya JF mwaka huu tutajionea.Mnatumwa mnakurupuka bila ya kuwauliza wanao watuma mpuuzi sana .
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
Hivi University ya Dar es salaam ipo jimbo gani vile?
 
History has it that all seemingly violent constituencies are led by illiterate MPs. Sugu, in particular, dropped out at Form Three as he was enticed to join music for the sake of grabbing quick money. It's now very clear that his victory as Mbeya MP was much contributed by his popularity as a hip-hopist and not ability to lead. You can tell a difference between an ignoramus and a learned MP by comparing Sugu with Zitto.
su
gu ataendelea kua sugu na zito ataendelea kua zito tu, Uongozi ni talent na sio shule nyang'au we
 
History has it that all seemingly violent constituencies are led by illiterate MPs. Sugu, in particular, dropped out at Form Three as he was enticed to join music for the sake of grabbing quick money. It's now very clear that his victory as Mbeya MP was much contributed by his popularity as a hip-hopist and not ability to lead. You can tell a difference between an ignoramus and a learned MP by comparing Sugu with Zitto.

mlinganishe na prof maj maref. Daras la 4 na f3 ipi afadhal?
 
Erasto Tumbo kakosea nini? Huyu Kandoro si ndio mwenye kashfa ya kununua V8VX ya serikali kwa shilingi 2m? si ndio huyu anayesomeshewa watoto wake na mgodi wa Geita, je si ndio huyu aliyesababisha mgogoro kule geita, si ndio huyu aliyeondoka Dar kwa kashfa ya kuchangisha hela za kampeni yake ya Ubunge kule Iringa, je si ndio huyu ambaye akiwa mwanza migogoro na maandamano vilikua haviishi? Kwanza ameteuliwaje tena kuwa RC hivi huyu kikwete ataendelea kuudhalilisha mkoa wa mbeya mpaka lini kwa ku suit interest zake, kwanza Mwakipesile aliyeshinda ubunge akampeleka pale migigori na wakina mwankyambe ikawa ndio order of the day, kwa kuwa kichwa cha panzi hana analojifunza karudia mambo yale yale ya kila siku huyu mtu sijui ananini kwenye kichwa chake mafunza? maana ni pumba tupu kati kila anchokifanya. Poleni wana CCM maana watanzania tumeamua hatutasubiri 2015 maana huyu bwana anavyoanchiwa kuendeleza kupumbavu wake, ndio anavyokazana kutu tigo watanzania wote sisi, hebut atolewe haraka
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.

Tatizo la watanzania tulio wengi uwa ni wavivu wa kufikiri na hatutaki kujishughulisha kufikiri!!!kila wanaloambiwa sana sana na watawala wanaamini!!!
Naomba tujiulize kwanini kandoro kila anapoenda hapatulii?alipokuwa dar ilikuwa mshikemshike ni mwendawazimu tu ambaye anaweza kubisha,akapelekwa mwanza nako kukawa hivyo hivyo labda tu uwe mgeni wa nchi hii ndiyo unaweza kupinga, kufika mbeya amezidi kuonyesha uwezo wake wa 'kuongoza' au kama siyo kutekeleza maelekezo ya wakubwa wake wa kisiasa.

Naomba kuuliza mtu akishachaguliwa je hawakiwi kuhojiwa udhaifu wake,to me Rwakatale was right,pia kumbuka kuwa kazi ya wanasiasa ni kuwatetea wananchi ni upumbavu kuwaondoa wamachinga bila kuwatengenezea maeneo mengine yanayofaa kwa biashara zao,siyo bali eneo tu!na ningeshangaa kama sugu angekaa kimya kama navyomshangaa mbunge wa rombo unayemsifia kwa kukaa kimya huku wananchi wake wananunua sukari kwa sh 4500/=!!!kama hayo ndiyo unayotaka wananchi kukosa mtetezi utakuwa sawa.

Kuhusu suala ni kwa nini mwanza,arusha na mbeya nakushangaa sana kama ujui umuhimu wa miji hii kiuchumi!tatizo kubwa ni ccm kuitumia serikali kuonyesha kuwa bila ccm miji hii haitwaliki bahati mbaya kwao hawajui hata yule aliyekuwa amelala wanamwamsha,ni ukweli usiopingika kuwa kwa utendaji wa serikali katika miji hiyo ccm wanazidi kuchukiwa sana,nashangaa hawalijui hili,si rahisi wao ccm kupambana na kigoma kwani hauna maslahi kwao kisiasa na kiuchumi,kuna tetesi kuwa katika uchaguzi wa mwaka jana ccm walikuwa tayari kupoteza majimbo 5 ili waachiwe nyamagana!jaribu kufikiri kabla ya kutoa maamuzi ndugu yangu.

Kuhusu historia ya wabunge wa miji hii si kweli hawana uwezo kama unavyotaka kuonyesha la asha,naamini kuwa waliokosea historia ya mtu ni ccm ambao hawakutambua uwezo wa jk wa kushinda kwenye madisko na kumteua kugombea urais huku wakimwacha salim m salim ambaye naamini angetuongoza vyema,na kama hili nalo hulioni sijui nikusaidieje!ila naamini muda ukifika utaelewa.

La kushangaza zaidi ni pale ccm wanapokata tawi la mti ambalo nao wamelikalia!!ujinga wanaotumia serikali kupambana na chadema hakika utatuangamiza sote,mimi sijui wao watasalimika vipi!!naomba Mungu awape viongozi hekima ya kuongoza,nchi hii ni yetu sote,tuache siasa kwenye maisha ya watu,tutaangamia.
 
Tumejisahau na kuanza kuchagua viongozi ma expert,kwa maana tumeona ni vema ku import mtu aje atuongoze hata kama haishi kwetu.

Kwangu mimi naona si sawa

Tuchukue mfano mdogo tu wa kiongozi wa darasa(monitor),huwezi kuchagua professor awe kiongozi wa std one.mahitaji halisi ya wanajamii hufahamika zaidi na wale wanoyaishi na wala wale wanaoyahisi.
Sehemu kubwa ya viongozi wetu hasa wabunge hawatokani na jamii husika, kisa kigezo elimu,fedha na umaarufu.

Wabunge wetu karibu wote hawaishi na jamii zao ndio maana hawajui matakwa ya wananchi.
Waache illitirates waongoze wenzao na hao ndio wanajua mahitaji yao na machungu ya kuwa hivyo walivyo na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom