Viongozi wa chadema wanapotoa kauli za kutaka kuwafurahisha mbowe na slaa?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
 
Je unajua historia ya majimbo yote hayo uliyoyataja? unajua shughuli za kiuchumi zinazoendeshwa? unajua hali ya watu wake? kama unajua+ na uongozi mbovu unaoendelea unaonekana kama ni kisasi kwa wananchi waliyochagua upinzani then weka jibu hapa=
 
usiku huu nenda kaungane na wenzako mkaimbe taarabu

huu ni uchafu wala siyo analysis
 
UDSM1.jpg

polisi wakivunja haki za wanawake kwa kuifurahisha ccm, polisi 9 zidi ya mwanamke mmoja
 
USHAURI: Badala ya kuweka alama ya KUULIZA (??) weka alama ya MSHANGAO (!!) kwenye title yako mkuu!
 
History has it that all seemingly violent constituencies are led by illiterate MPs. Sugu, in particular, dropped out at Form Three as he was enticed to join music for the sake of grabbing quick money. It's now very clear that his victory as Mbeya MP was much contributed by his popularity as a hip-hopist and not ability to lead. You can tell a difference between an ignoramus and a learned MP by comparing Sugu with Zitto.
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
Zile dawa zako za kutuliza kichaa umeshameza??
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.

Ninachangia kwa sababu ulivyo masaburi hata Nape akikueleza akiwa uchi huelewi. Ujue kuwa hayo unayotaka tukuelewe hayataeleweka kamwe hata wikija mitume
 
History has it that all seemingly violent constituencies are led by illiterate MPs. Sugu, in particular, dropped out at Form Three as he was enticed to join music for the sake of grabbing quick money. It's now very clear that his victory as Mbeya MP was much contributed by his popularity as a hip-hopist and not ability to lead. You can tell a difference between an ignoramus and a learned MP by comparing Sugu with Zitto.

If you are literate at all, tell me how can Sugu the "illiterate" manage to quell the skirmish in Mbeya where the rest of the Mbeya Govt rulers failed? My answer is that you and the Mbeya rulers are illiterate, ignorant, demented and out of touch with reality.
 
Nina wasiwasi juu ya uwezo wako wa kufikiri,nani alikwambia kutetea haki ni kuwatetea viongozi wa chadema.Haki ni za watanzania wote sio za mbowe na slaa.
 
Sababu huyo mwanamke si mwislam ndo tamko halijatoka ila ni kwa sababu policcm wamefanya hivyo hata haki za binadamu hutawasikia.
Policcm ni Wanyama si watu kudhalilisha mwanamke namna hiyo.
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
ubongo wako unafikilia kinyumenyume!
 
Nimeanagalia Taarifa ya habari saa 2:00 usiku na kushangazwa sana na kauli ya ERASTO TUMBO WA CHADEMA kwamba Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO hana sifa za kuwa Mkuu wa mkoa kwa sababu tu ya vurugu za wafanyabiashara ndogondogo, vurugu ambazo ni wazi kabisa zilichochewa na Mbunge wa Mbeya Mjini , SUGU pale alipowahutubia wananchi na kuwaambia wasitii amri ya POLISI.

Nina wasiwasi na kauli za baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwemo ERASTO, WILFRED LWAKATARE na SUGU kama zinakuwa ni kwa maslahi ya Taifa au wanakuwa na lengo la kumfurahisha mkuu wao ili kulinda ajira zao au ni kutaka umaarufu.

Najiuliza sana , hivi kwa nini Majimbo ya Chadema yenye vurugu ni Arusha, Mbeya na Mwanza? Je ni kwa sababu wabunge wake wana uchungu sana na watu wao kuliko wengine? au ni kwa sababu ya wabunge wao kuwa VILAZA na hiyo kuwa njia pekee ya kuwaaminisha viongozi wao kitaifa kuwa wanaweza? Mbona Ubungo, Rombo, Kawe, Kigoma Kaskazini na kwingine ni Wabunge wake wanatoka CDMA ila hakuna mambo hayo?

Bado nasisitiza , nina wasiwasi na uwezo wa LEMA, SUGU na WENJE. Lakini historia ya walikotoka na walichokuwa wakikifanya kabla hawajawa Waheshimiwa inawabeba na kuwahalalisha na vurugu za kijinga na kitoto.
Sasa huyu nikimtukana modes watanipiga ban kweli! magamba kama huyu anakurupuka tu ka kabanwa na tumbo la kuhara na kupost upuuzi kama huu! masaburi wew nenda kwa bosi wako huko akakucameruni....
 
History has it that all seemingly violent constituencies are led by illiterate MPs. Sugu, in particular, dropped out at Form Three as he was enticed to join music for the sake of grabbing quick money. It's now very clear that his victory as Mbeya MP was much contributed by his popularity as a hip-hopist and not ability to lead. You can tell a difference between an ignoramus and a learned MP by comparing Sugu with Zitto.

You must respect the will of the people. You have no right whatsoever to judge their decisions. What can you say about Maji Marefu, a witch doctor whose academic qualification is a mere standard seven and yet the people elected him as their MP? Shame on you who always wouldn't use brains to argue things of substance. Stop your hypocrisy, focus on issues!
 
If you are literate at all, tell me how can Sugu the "illiterate" manage to quell the skirmish in Mbeya where the rest of the Mbeya Govt rulers failed? My answer is that you and the Mbeya rulers are illiterate, ignorant, demented and out of touch with reality.

Well said buddy!
 
Back
Top Bottom