Msingi Hoja
Member
- May 4, 2011
- 17
- 2
Wana JF,ninakerwa sana na Chama cha Mapinduzi kupinga kila hoja ya upinzani hata kama hoja hiyo ni ya msingi na tija kwa taifa.......kila jambo na hasa litokalo kwa CHADEMA basi watalivalia njuga na mara nyingine hoja ikiwa ni nzuri kwa taifa hudiriki kusema wao (CCM) ndilo walioiibua na si upinzani. Wakubali tu kuna hoja zitokazo upinzani zina mashiko