johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,116
Utasemaje Shujaa Magufuli aliogopa Maandamano wakati Viongozi mahiri wote wa Upinzani walikuwa wanamkimbilia na kuunga Juhudi
Unadhani Shujaa Magufuli angemuogopa nani huko Upinzani kama akina Mbowe walipanda Ndege hadi Mwanza kuomba kujadiliana naye mambo ya Maendeleo
Maalim Seif alipanda Ndege hadi Chato kumsalimia Shujaa Magufuli
Kwa kifupi CCM ndio wanaogopa Maandamano maana hata sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameruhusu lakini Wakuu wa mikoa wamekuwa Wanafanya kila njia kuyadhoofisha yasifanikiwe
Jokate apambane na Bawacha, akina Dr Halima Mdee, amuache Shujaa Magufuli apumzike kwa amani
Mlale Unono 😀😀
Soma:
- Jokate: Tofauti na Magufuli, Rais Samia anajiamini ndiyo maana ameruhusu Wapinzani waandamane
Unadhani Shujaa Magufuli angemuogopa nani huko Upinzani kama akina Mbowe walipanda Ndege hadi Mwanza kuomba kujadiliana naye mambo ya Maendeleo
Maalim Seif alipanda Ndege hadi Chato kumsalimia Shujaa Magufuli
Kwa kifupi CCM ndio wanaogopa Maandamano maana hata sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameruhusu lakini Wakuu wa mikoa wamekuwa Wanafanya kila njia kuyadhoofisha yasifanikiwe
Jokate apambane na Bawacha, akina Dr Halima Mdee, amuache Shujaa Magufuli apumzike kwa amani
Mlale Unono 😀😀
Soma:
- Jokate: Tofauti na Magufuli, Rais Samia anajiamini ndiyo maana ameruhusu Wapinzani waandamane