Chemical Ali nae namzimia sana
Wewe kweli jiwe la seminary wakifa waislamu hata watoto siyo tatizo..endelea kufurahi ukatili..Ok
Viongozi ninaowahusudu ni
Mahathir Mohamed - Malaysia aliweza kui-transform malaysia from poor country to middle class earning country kwa miaka 15 tu madarakani wakati kilaza wetu nyerere akiwa busy kunyang'anya mashamba ya wananchi ikiwemo ya baba yangu na ku share umaskini
Mohammed Jinna -Pakistan aliweza kujitoa katika himaya ya india na kuunda serikali ya kiislam na kumiliki nuclear na kutengaza uchumi wa viwanda ambavyo hadi wajinga (viongozi wa sasa) walipoanza kujipendekeza kwa wamerakani wakaanza kutesa wananchi wao wenyewe..still nchi hiyo ina viwanda vingi wana export bidhaa nying middle east
Ahmadinejad -Iran msimamo na muungwana kwa watu wake, pamoja na vikwazo ameweza kuhudumia serikali yake kwa ujasiri mkubwa..ingekuwa vilza wengine wagekuwa kwishne
Muamar Qadafi..Libya amewahudumia watu wake vizuri..ila ame over stay anatakiwa kusoma alama za nyakati
Nelson Mandela - Speechless hana tamaa ya madaraka muungwana jasiri
Ally Hassan Mwinyi - Tanzania kuondoa watu wake kutoka kwenye giza hadi kwenye nuru, walikuwa hawajui internet (akiwemo Rev. Masa) hadi kuangalia TV, mwanademokrasia na muungwana kwa watu wake..tungekuwa na huyu miaka ya nyerere tungekuwa kama Malaysia kwa sasa.
Chemical Ali alikuwa Arsenal kumbe lol nimefurahia hilo.
Nawakubali,sadam husein,hugo chavez,nelson mandela,sheikh zaid al-nahyan,osama binladen,jarry rawlings,adolf hitler,ali hassan mwinyi,sayyid bin said,che guevara.
marais wanaochekacheka na wahujumu uchumi mi huwa sina wakati nao.
rais anaechekacheka tuuu kila wiki anakimbilia kucheza ngoma kijijini kwao, mara sijui beseni, mara sijui kwa biti mwashamba mjukuu wake anatoka...mi huwa sinaga muda nae.
Mkuu sisi wanawake wengi hutupenda sababu wanajua watakuwa na Mwanaume ndani!
Kwani hawa viongozi hawakuoa?Duh mkuu unaonekana ni mtu katili sana tofauti na title yako Rev walah ukija kuchumbia kwetu hupati mke.
Kiongoi anayecheza kiduku Ikulu hapana kwa kweli
Maisha ni kuchagua kile ukipendacho bila kuchukiza wengine! Mimi nimependa hao jamaa kwa sababu zangu, mwingine anakuja kuniponda eti anafatilia post zangu! what a joke....nimependa wale walioweka viongozi wao ninawaheshimu. Mwingine anakuja na moto wa kifuu eti ninataka ubunge wa JF....you guys you made me sick! I am independent thinker sifikirii kama wewe na sintofanya hivyo. Wewe na usomi wako baki nao na mimi nakanyaga mwendo!
Nimeangalia List za watu wote nimeona hakuna mwana JF Hata mmoja alioniwasilishia leaders wangu ninaowazimia style zao za kongoza ..Viongozi wa mfano kwangu ni:-
1.GEN. Antonio Manuel Noriega......PANAMA
2.Sylvio Berlusconi....ITALY na
3.Ahmed Hassan Diria