Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nimejaribu kuangalia Historia nimejikuta ninawazimia sana hawa jamaa wakati wa uongozi wao
1. Gen Franco alizaliwa 1892 na kufa 1975. Alizaliwa kwenye familia ya kijeshi. Kati ya mwaka 1907 na 1910, alisoma katika chuo cha kijeshi cha Toledo Infantry alitumikia uhispania na Moroccokutoka mwaka 1910 to 1927. Alipata sifa kwa kushambulia wa Morocco mwaka 1927 na alipandishwa kuwa full Gen na kuwa mkuu wa chuo cha kijeshi cha Saragossa Military Academy. Mwaka 1936 alikuwa mnadhimu Mkuu wa jeshi la Spain na kiongozi mkuu. Mzee mzima Hitler alimkubali sana. Alikuwa mkatili sana huyu bwana.
- George Bush - US
- Adolf Hitler - Germany
- Benito Mussolini - Italy
- Hideki Tojo - Japan
- Ferenc Szálasi - Hungary
- Francisco Franco - Spain
1. Gen Franco alizaliwa 1892 na kufa 1975. Alizaliwa kwenye familia ya kijeshi. Kati ya mwaka 1907 na 1910, alisoma katika chuo cha kijeshi cha Toledo Infantry alitumikia uhispania na Moroccokutoka mwaka 1910 to 1927. Alipata sifa kwa kushambulia wa Morocco mwaka 1927 na alipandishwa kuwa full Gen na kuwa mkuu wa chuo cha kijeshi cha Saragossa Military Academy. Mwaka 1936 alikuwa mnadhimu Mkuu wa jeshi la Spain na kiongozi mkuu. Mzee mzima Hitler alimkubali sana. Alikuwa mkatili sana huyu bwana.