Muinjilisti
Senior Member
- Dec 20, 2010
- 105
- 52
Utakuwa una tatizo kubwa sana akilini! Nikigombea ubunge nije tangaza JF? Hebu jaribu kwa na fikra. Nitapata kura ngapi hapa JF? kwanza ninakotoka hata umeme wa mgao haupo. Sasa ni mpigakura yupi angesoma JF? Nina haki ya kuchagua nikipendacho sawa kijana! Usiwe unasoma Kitu JF na kumeza wengine tunachukulia hapa ni kijiwe tu. Nadhani hutaleta fikra duni zako milele.
hapo kwenye nyekundu nahitaji ufafanuzi zaidi, na pia kumbe wewe unaichukulia jf kama kijiwe? pole sana ndio maana unaenda ku copy kwenye encearta encyclopdia cv zawatu then unakuja zi paste hapa, nadhani wewe ndio unamatatizo na hisi una homon nyingi za kike zaidi ya za kiume
Hapo kwenye nyekundu sijapenda! Kuwa mtoa mada ana homoni nyingi za kike kuliko za kiume? Ni udhalilishaji wa jinsia, inaonyesha ni kwa jinsi gani unawadharau wanawake? Inakuwaje unatofautiana na mwenzako kimawazo halafu unasema neno kama hilo? Wakuu nashauri wachangiaji wanaodhalilishaji wanawake wa moja kwa moja kama hivi wapigwe BAN! Hizo homoni za kike zikoje? Nyie ndiyo wale kwenye ndoa zenu ni mfumo dume tu. Kama ndiyo bosi hakuna mwanakme atakayekuwa promoted, waheshimu wanawake, ni mama zako, umelelewa kwenye tumbo la mama yako miezi 9, si ndiyo! Natumaini umenipata