sidimettb
Member
- May 17, 2011
- 42
- 14
Sina shaka yoyote kuhusu vyeti vyake vya darasani,ila wasiwasi mkubwa ni unafiki/kutokujiamini kulikopitiliza kunakompelekea kujipendekeza kwa kiwango cha juu sana kwa watawala na in a way kuwa mzigo kwa wenzake wasiobahatika kufika kiwango kikubwa cha elimu ya darasani katika mazingira anamoishi. Ananikumbusha zamani kidogo ambapo vijana pamoja na kusoma walikuwa na uhuru na confidence kidogo sana, badala yake wanaishia kujipendekeza kwa makada wa ccm ili wapate nafasi Fulani ndani ya serikali.
Hizo styles zimepitwa na wakati, kwa hiyo wakati watu wenye umri mkubwa kama kina Dr.Slaa, Mwanakijiji etc wanapigana usiku na mchana kulitoa gizani taifa hili, ni aibu na ni usaliti kwa vijana wasomi wa aina ya Mwigulu kuwa sehemu ya kurudisha nyuma hizi juhudi i.e Kama hana mchango chanya ni bora akakaa kimya na uhazini wake ndani ya Taasisi iliyomwajiri(CCM), kwa maana historia itakuja kumhukumu kwa usaliti anaoufanya dhidi ya maskini waliowengi nchii hii!
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mwenendo wa huyu jamaa ni kichefu chefu kwa kweli. Kwamba, wakati vijana wengine wasomi wakipigania kujinasua na mfumo uliooza wa sisi m, kama walivyofanya vijana wa enzi hizo e.g JKN dhidi ya mfumo dhalimu wa kikoloni, yeye sifa kubwa kwake ni kusikika kuwarudisha kwenye giza watu wengine,bila shaka kwa gharama kubwa tuu. Inasikitasha kuona kuna watu bado wanafikiria kumrudisha mtu fulani kwenye chama mfano diwani,wakati dunia inadili na falsafa na dhima nzima ya kuweka mfumo utakaofaa wote.
Kwa upande mwingine nina imani kubwa kwamba ndani ya nafsi yake kijana kama NAPE bado ni silaha muhimu sana ya upinzani ndani ya Chama Cha Magamba, japo hawezi kijionyesha wazi kwa sasa!
Ni imani yangu kuwa sijamshambulia yeye personally,ila aina ya dhamira anazoziwakilisha!
Nawasilisha
Hizo styles zimepitwa na wakati, kwa hiyo wakati watu wenye umri mkubwa kama kina Dr.Slaa, Mwanakijiji etc wanapigana usiku na mchana kulitoa gizani taifa hili, ni aibu na ni usaliti kwa vijana wasomi wa aina ya Mwigulu kuwa sehemu ya kurudisha nyuma hizi juhudi i.e Kama hana mchango chanya ni bora akakaa kimya na uhazini wake ndani ya Taasisi iliyomwajiri(CCM), kwa maana historia itakuja kumhukumu kwa usaliti anaoufanya dhidi ya maskini waliowengi nchii hii!
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mwenendo wa huyu jamaa ni kichefu chefu kwa kweli. Kwamba, wakati vijana wengine wasomi wakipigania kujinasua na mfumo uliooza wa sisi m, kama walivyofanya vijana wa enzi hizo e.g JKN dhidi ya mfumo dhalimu wa kikoloni, yeye sifa kubwa kwake ni kusikika kuwarudisha kwenye giza watu wengine,bila shaka kwa gharama kubwa tuu. Inasikitasha kuona kuna watu bado wanafikiria kumrudisha mtu fulani kwenye chama mfano diwani,wakati dunia inadili na falsafa na dhima nzima ya kuweka mfumo utakaofaa wote.
Kwa upande mwingine nina imani kubwa kwamba ndani ya nafsi yake kijana kama NAPE bado ni silaha muhimu sana ya upinzani ndani ya Chama Cha Magamba, japo hawezi kijionyesha wazi kwa sasa!
Ni imani yangu kuwa sijamshambulia yeye personally,ila aina ya dhamira anazoziwakilisha!
Nawasilisha