Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Baada ya kufuatilia kwa kina siasa za kimajimbo na kuangalia nyadhifa za kiwaziri nikagundua kuwa tangu kuanze kwa utawala wa kibunge ni Mbunge mmoja tu aliwahi kushika nafasi ya ubunge kwa miaka 2o Jimbo la Iramba - na hasa Iramba Magharibi ambaye ni aliyewahi kuwa Waziri wakati wa kipindi cha Mwinyi - yaani Nalaila Kiula. Huyu mzee kwa siku hizi sijawahi kumsikia tena ingawa kuna wakati niliwahi kumwona akishiriki katika Ibada Kanisa la Mchungaji Mama Rwakatare.
Je, Dkt. Mwigulu anaweza kufikia historia ya huyu Mzee kwenye ubunge katika jimbo hili ambalo watu wake hawapendi dharau na ni maskini jeuri? Kwa mwaka 2020 Mwigulu kiukweli kabisa na mimi nikiwa shahidi wa namna tulivyompitisha aliiba kura kuanzia zile za maoni kwani ni ukweli dhahiri bayana kuwa alishindwa kura hizo.
Je, Dkt. Mwigulu anaweza kufikia historia ya huyu Mzee kwenye ubunge katika jimbo hili ambalo watu wake hawapendi dharau na ni maskini jeuri? Kwa mwaka 2020 Mwigulu kiukweli kabisa na mimi nikiwa shahidi wa namna tulivyompitisha aliiba kura kuanzia zile za maoni kwani ni ukweli dhahiri bayana kuwa alishindwa kura hizo.