Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Leo mchana nape amepokea maandamano ya wale wanaojiita Wana cccm wa vyuo vikuu,lengo Lao ni kupongeza Kamati kuu.(source Chanel ten)
Haiwezekani na ni vigumu kuamini kwamba bado kuna wasomi vyuoni ambao wanaweza kupoteza muda wao kwa ajili ya kuunga mkono ubadhirifu unaofanywa na mawaziri wa jk,
Nimewaona katika ITV kama walikuwa wengi ni kama 35. Kilichokuwa kimefunika ni mabango. Hata Nape mwenyewe amechuka muda kuyasoma moja moja. Otherwise innaonekana ni maandamano ya 'kutengezwa'.