Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br /><br /><br />
<br /><br />
hapo kuidharirisha umemaanisha nini mkuu
<br />
yaani anamaanisha kuilinganisha fiesta na uzembe wa vijana haukuwa mfano sahihi. Ukumbukwe kuwa Fiesta ndiyo tamasha kubwa kuliko yote A/Mashariki na Kati na linaingizia taifa fedha nyingi sana ikiwa ni pamoja na kutoa ajira kwa vijana. Kusema vijana wanawaza Fiesta ni sawa kwasababu inawaingizia pes.