Nakumbuka wakati fisadi Rostam akichangia kwaya ya kanisa la Lutherani Kinondoni alisema yeye si kama fisadi fulani aliyekuwa na vimada kila kona, na aliyependa vibinti vidogo vidogo. Bila shaka mlengwa alikuwa fisadi Sitta, na kwa kauli yake mwenyewe hapo kwenye red, anatuthibitishia kuwa yaliyosemwa dhidi yake yalikuwa ya kweli.
<br />wakuu! waziri wa A.Mashariki Mh. Samweli Six wakati wa kuhitimisha hoja yake bungeni jioni hii, amesema vijana wa kitanzania wanawaza FIESTA, hawafahamu computer.. pia ma secretary hawajui kutembea, pia mabinti wa tanzania ukimgusa tu anakuwa mkali wakati wa Kenya ni wachangamfu, wanaomba email za mawaziri waketu wanawaza fiesta. shortly ameniboa ile mbaya
Hili ndio tatizo laku-reform Private sector before Public Sector; ingetakiwa tuombe wawekezaji kwenye sector za Umeme, Maji, Elimu, Afya, kabla ya kutafuta uwekezaji kwenye makampuni ya Bia, Sigara, Simu za mkononi, DSTV.... the result is a nation of uneducated but exposed youth society... sasa what do you think they are more interested in Economics or Big Brother?????
vijana wa TZ ni wafivu hawafanyi kaz wanawaza FIESTA we unafanya nini
<br />wakuu! waziri wa A.Mashariki Mh. Samweli Six wakati wa kuhitimisha hoja yake bungeni jioni hii, amesema vijana wa kitanzania wanawaza FIESTA, hawafahamu computer.. pia ma secretary hawajui kutembea, pia mabinti wa tanzania ukimgusa tu anakuwa mkali wakati wa Kenya ni wachangamfu, wanaomba email za mawaziri waketu wanawaza fiesta. shortly ameniboa ile mbaya
<br /><span style="font-family: arial"><font size="3">Nakumbuka wakati fisadi Rostam akichangia kwaya ya kanisa la Lutherani Kinondoni alisema yeye si kama fisadi fulani aliyekuwa na vimada kila kona, na aliyependa vibinti vidogo vidogo. Bila shaka mlengwa alikuwa fisadi Sitta, na kwa kauli yake mwenyewe hapo kwenye red, anatuthibitishia kuwa yaliyosemwa dhidi yake yalikuwa ya kweli.</font></span>
<br />Aliyosema ni kweli!tunapaswa kujirekebisha,hata mambo ya siasa kuna jamaa kibao wanakuambia siasa ya nini hao waliopo waongo wote wanakula wewe tazama maisha yako binafsi,hapo ccm aaaah ndiyo wanatuchakachua kweli! ona kenya wanavyojua haki zao,wameelevuka na matokeo yake hata east africa tukizubaa wao watafaidika tutabaki kulalama tu,mambo mengine yanataka matendo sio maneno tu.mimi naona sitta alivyosema ni sawa tu,ndiyo maana chedema wanazunguka kufundisha watu,tunaambiwa wanaleta fujo sio kweli na hata sita ameunga mkono maandamano kiaina ndiyo maana amesema wataweka watu kila wilaya kuelimisha,lakini ile style cdm ndiyo nzuri ambayo mass inaelimishwa kwa wingi zaidi.
<br />hakuwa na haja ya ku address biashara ya mtu na kuidharirisha fiesta...hakuona v2 vyote vbaya vyenye negatve impact km ngono,ulev,wizi,ujinga etc haku2mia busara
<br /><b>Mhesimiwa sita ameongea jambo la msingi na la kweli kwa kiwango kikubwa... LAKINI ... nani hajui HILO?<br />
<br />
Sita kama waziri na mbunge, Baraza la mawaziri na wabunge waote pale bungeni ..pamoja na Mheshimiwa Rias JK ..naongelea viongozi wa Taifa hili wamechukua jukumu gana la kweli na dhati katika kuondoa tatizo hilo?<br />
<br />
Na hiyo michezo wanayofanya hapo bungeni ndio itatoa masahihisho na utatuzi wa matatizo ya msingi kama hayo?<br />
<br />
<font color="#0000ff">Wake up Sita and all leaders of this nation before it is too late .... !! </font></b>