Vijana wa Tanzania wanawaza Fiesta - Samwel Sitta

wakuu! waziri wa A.Mashariki Mh. Samweli Six wakati wa kuhitimisha hoja yake bungeni jioni hii, amesema vijana wa kitanzania wanawaza FIESTA, hawafahamu computer.. pia ma secretary hawajui kutembea, pia mabinti wa tanzania ukimgusa tu anakuwa mkali wakati wa Kenya ni wachangamfu, wanaomba email za mawaziri waketu wanawaza fiesta. shortly ameniboa ile mbaya

Nakumbuka wakati fisadi Rostam akichangia kwaya ya kanisa la Lutherani Kinondoni alisema yeye si kama fisadi fulani aliyekuwa na vimada kila kona, na aliyependa vibinti vidogo vidogo. Bila shaka mlengwa alikuwa fisadi Sitta, na kwa kauli yake mwenyewe hapo kwenye red, anatuthibitishia kuwa yaliyosemwa dhidi yake yalikuwa ya kweli.
 
Naona Mzee Six kazungumzia kitu generally.mimi naishi na vijana wa Nchi tajwa huku ughaibuni,lakini ndo yaleyale ,watz tunawaburuza washkaji kama kawaida katika masomo ya MD,na hivi tusiidharau elimu yetu kivile. Kwa nchi tajwa kuna vijana wachangamfu na pessimistic pia, lakini ninavyoona hawa jamaa sio kama alivyosema mzee,maanake wengio wao ni wenzangu na mimi hawangalii mbele wala nini.

Hapa yawezekana Tz imechagua vijana wazuri kuja kusoma huku lakini mimi naona ni sample inayorepresent Watz wote.Inapokuja kwa swala la Kiingereza ni kweli nilisikia malalamiko ya kuwa vijana wetu waliowasili toka shule maarufu sana ya serikali hapo Pwani walikuwa mabubu kwa kushindwa kuongea kiingereza lakini wenzio katika msafara huohuo toka Saint M YA bagamoyo walikuwa safi kabisa.

SO vitu vya kufanya katika elimu yetu hapo ni improving English speaking and student participation in clase works orrally coz kuwa na confidence kujitetea ndicho kinachonibeba.
 
we unadhani kina Lusinde, Vicky Kamata,Mwigulu Nchemba, January Makamba, Ndugulile,Ngeleja na wenzao wa magamba wanaza nini zaidi ya Fiesta!? Ndo maana wakiingia bungeni hufikiri kwa kutumia Masaburi!
 
watachangamkaje wakati english yenyewe ni ya ...i was,..i is...iam going yesterday....tujifunze this language of her majesty ndio tunaweza kucompete na waganda na wakenya,..hautasahau kiswahili chako kwa kujifunza hii lugha yao
umeshawahi kusikia english ya mchina?
 
Kwa kirefu ni kwamba:
Vijana wa Tanzania 18-45 ,tunapenda starehe sana,tunawaza umalaya sana,tu wazembe kuliko kufanya kazi,kutafiti,kubuni,kujituma,n.k..ni kweli hiki kizazi cha nyoka cha mashalobaro hakuna kitu kinawaza zaidi kujirusha wakiongozwa na maharuni wenzao akina Mchomvu na B12 katika kueneza ukimwi lakini hii pia ni kazi ya serikali kuwanyima vijana ajira na elimu mpaka kila kijana anawaza kutoka ni bora awe msanii,ndo jahazi linavyozama hivyo na taratiiibu tutamezwa na nyangumi wakubwa kutoka nchi jirani zetu
 
wakuu! waziri wa A.Mashariki Mh. Samweli Six wakati wa kuhitimisha hoja yake bungeni jioni hii, amesema vijana wa kitanzania wanawaza FIESTA, hawafahamu computer.. pia ma secretary hawajui kutembea, pia mabinti wa tanzania ukimgusa tu anakuwa mkali wakati wa Kenya ni wachangamfu, wanaomba email za mawaziri waketu wanawaza fiesta. shortly ameniboa ile mbaya

Mungu ibariki Tanzania...
 
Naungana na wana JF wote waliosupport usemi wa mzee Sitta.

WomanofSubstance kasema, "Kawakilisha ujumbe mzito kwa rugha nyepesi". Nadhani Mzee Sita amesha isoma jamii ya kitanzani vizuri sana, kuanzia Serikali kuu, wafanya biashara na sisi wanachi wa kawaida. Na kwa kweli ameeleza ukweli ulio chanya na usiopingika. Ametumia mfano wa Fiesta kuonyesha jinsi watanzania tunavyopenda vitu rahisi rahisi na vyenye manufaa ya muda mfupi na ambavyo havina recognition yeyote kimataifa.

Kwa mantiki hiyo, anachosema Mzee sita nilivyomuelewa mimi, kama kwa nguvu ileile na ubunifu ulele unaotumika katika kufanya fiesta na mambo mengine yafananayo na hilo, lakini ukalenga zaidi kujenga capability ya watanzania katika mambo muhimu ya ufahamu, ktk nchi na hata Kimataifa, lingekuwa jambo la msingi zaidi. Ni ukweli mtupu aliousema mzee sitta.

Nitafanya kila jitihadi nimtafute nimpe mawazo yangu kwa manufaa ya watanzania wote katika nyanja hii ya utandawazi.
 
Lakini vile vile na sisi, tujifunze kuwa mwanamke akitabasamu akiwa mchangamfu siyo ndo anakutaka na unaanza usumbufu wa kumtongoza!
 
Sasa akiikandia Fiesta, Clouds na Ruge watapata wapi pesa za kufanya Birthday ya President?

Fiesta ni ya CCM kuwasahaulisha Vijana wengi kuwa hakuna kazi na kutojali Elimu; Wengi wao wanaona ni bora kuhudhuria Fiesta kupata kuwa Waimbaji na kusahau kujiendeleza

It is painful to view how our young mens bodies are used during Fiesta ie for SEX, FIGHTING and Buying Alcohol...
 
hakuwa na haja ya ku address biashara ya mtu na kuidharirisha fiesta...hakuona v2 vyote vbaya vyenye negatve impact km ngono,ulev,wizi,ujinga etc haku2mia busara
 
The Perfect, kwa hili you are not perfect. Naona wachangiaji karibu wote wamemwelewa Sitta vizuri kuliko wewe mtoa mada. Jifunze kuwa perfect katika kusikiliza na kuelewa.
 
watachangamkaje wakati english yenyewe ni ya ...i was,..i is...iam going yesterday....tujifunze this language of her majesty ndio tunaweza kucompete na waganda na wakenya,..hautasahau kiswahili chako kwa kujifunza hii lugha yao

Mkuu hiyo RED sio sahihi wapoland wamevamia mataifa ya ulaya na kuchukua kazi na sasa wamerudi kwao na hata lugha za hayo mataifa walijifunzia huko huko safarini na sio kwamba waliweza hivyo/wanaweza hivyo lakini wanauchangamfu na uchapa kazi

lugha ni muhimu lakini kingereza haipashwi kuwa kikwaza cha watanzania kutopata kazi tanzania maana wateja wengi ni watanzania na wageni wanaokuja hawategemei kukuta watu wanao zungumza fluent english, na wafaransa je? wachini na wahindi?
kuchangamke matatizo ya kula viporo hayo mpaka na mwili una lala, miili imewekwe kimapenzi mapenzi tu, tutakuja kuwa kama waingereza hakuna hanayepata kuwapa ajira kwa mambo kama hayo harafu sisi tunalia kingereza
 
Pamoja na kwamba sikubaliani na mzee sitta na serikali yake kwenye hili suala la ajira hasa za wageni wanaofanya kazi nchini katika sekta mbalimbali kwakuwa mara nyingi hawa wageni wanafanya kazi ambazo hata huko kwao zinafanwa na wazawa wenyewe,lakini nakubaliana nae kuhusu fiesta.

Sisi kama nchi hatunufaiki chochote na haya matamasha ya fiesta zaidi ya kupata hasara ya vijana kupata maambukizi ya VVU na ukimwi lakini pia mimba kwa dada zetu. Fiesta inawanufaisha watu wachache sana huku kundi kubwa la washiriki mathalani wasanii wa nyumbani kuambulia kiasi kidogo sana.

Baada ya hii statement ya mzee six sijui ruge atasemaje,maana sugu alipogusa tu akajibu mapigo.
 
Mhesimiwa sita ameongea jambo la msingi na la kweli kwa kiwango kikubwa... LAKINI ... nani hajui HILO?

Sita kama waziri na mbunge, Baraza la mawaziri na wabunge waote pale bungeni ..pamoja na Mheshimiwa Rias JK ..naongelea viongozi wa Taifa hili wamechukua jukumu gana la kweli na dhati katika kuondoa tatizo hilo?

Na hiyo michezo wanayofanya hapo bungeni ndio itatoa masahihisho na utatuzi wa matatizo ya msingi kama hayo?

Wake up Sita and all leaders of this nation before it is too late .... !!
 
Na hao wazee kama yeye wanawaza nini? Tena yeye kaijuaje Fiesta? Kwa sababu kusema hivyo ina maana anajua kiundani kuhusu Fiesta.
 
Kakubore wewe, kaongea ukwel m2pu
mnawaza fiesta 2 hamna vya mana afu mnalialia
Piga kimya...!
ukweli mtupu .kawaponda waandaaji wa fiesta kwani fiesta aimsaidii kijana wa sasa asiyekuwa na ajira na uwakika maisha ya kesho
 
hakuwa na haja ya ku address biashara ya mtu na kuidharirisha fiesta...hakuona v2 vyote vbaya vyenye negatve impact km ngono,ulev,wizi,ujinga etc haku2mia busara


hahahha nimekauka! yale yale.FIESTA siyo lazima iwe ile Fiesta UNAYOIJUA WEWE NDUGU. Kwa kusema FIESTA...ni dhana tu ... tuweni analytical kidogo ili
twende mbele zaidi katika kuchanganua mambo.Welewa wepesi ndio utakupa kuwa FIESTA ni biashara ya Mtu. Sidhani kama FIESTA ni monopoloy ya Ruge na wenziwe.Na hata kama tutachukulia Fiesta kama Fiesta....basi hivyo ulivyouliza kwanini hakuviona ndivyo hufanyika kwenye hiyo Fiesta unaiita wewe biashara ya watu.

Tanzania tuna safari ndefu kweli.....
 
True that, mzee VI umesema kweli tupu, wabongo kwa kushobokea starehe ..usiende mbali tembelea maofisini halafu sema unataka kumwona bosi, utaona nyodo zao
 
Back
Top Bottom