Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Au wanataka utoe chochote kitu kwa mmoja ili umshikishe maana mkono mtupu haulambwi wanajikuta kama wanakufaidisha vile utazani sio haki yako.
Wakishafikia hatua hiyo bora ukae pembeni maana kila ukipata changamoto itakulazimu utoe chochote kitu ili kufix
 
Wakuu tupeni na feedback za Tigo unlimited kuna watu walisema hapa wamepata laini bila kununua kifaa chao na kuungwa kifurushi cha 70k
Tigo kwa sasa ina speed nzuri sana kuishinda Airtel
Connection kwenye hizi mambo will end in tears tuu...

Bora ukachukue router kuliko hizo konakona, ila wanauza parefuu sana, 650K...

Hata airtel wana speed nzuri sana...... Msichoelewa ni kwamba kutumia internet ya router ni tofauti sana na ukiwa unatumia internet ya line iliyoko kwenye simu...
 
Jana nilimcheki aliyeniunganishia nikamuambia afanye ima package ya 70K ionekane

Ikabidi nijitangulizie mpira kwa mbele kuwa kuna raia walikuwa wanatumia enterprises na wakaomba hicho kifurushi cha 70K wakapewaView attachment 2853573
Mimi kwa mtazamo wangu huyu jamaa anakupotezea muda mkuu, yeye ni agent kama alivosajili alipata kamisheni na ndo lilikua lengo lake.

Ni kama wale wakala wa mtaani ukisajili laini wanakimbilia kukufungulia mobile payment kitu ambacho si lazima ila wanafosi kwa ajili ya maandalizi ya kamisheni.



Turudi kwenye mada mimi toka ule mwezi wa kwanza ulivoisha wadau walivokua wanauliza 70k hakionekani niliuliza wadau waliolipia 200k kina onelana wadau kadhaa wakathibitisha bado wanakiona.

Conclusion ilikua pale kwamba yule wakala kafosi apate ile kazi.

Hapo cha kufanya naunga mkono hoja ya Kingsmann kwamba kufika shop kuuliza utaratibu wa kushift wakati huo 200k yao ikiwa mkononi
 
Connection kwenye hizi mambo will end in tears tuu...

Bora ukachukue router kuliko hizo konakona, ila wanauza parefuu sana, 650K...

Hata airtel wana speed nzuri sana...... Msichoelewa ni kwamba kutumia internet ya router ni tofauti sana na ukiwa unatumia internet ya line iliyoko kwenye simu...
tueleze mkuu utofauti wengine sio ma IT mkuu hatujui utofauti wake
 
Connection kwenye hizi mambo will end in tears tuu...

Bora ukachukue router kuliko hizo konakona, ila wanauza parefuu sana, 650K...

Hata airtel wana speed nzuri sana...... Msichoelewa ni kwamba kutumia internet ya router ni tofauti sana na ukiwa unatumia internet ya line iliyoko kwenye simu...

Concept ya kukwepa kutumia Router yao ni kukwepa ndoa ya 650,000.

Maana wakibadilika wakianza kutoa huduma mbovu utajikuta unatamani kuhamia kwingine ambapo kuna huduma nzuri halafu ni affordable. Unakuja kujikuta ndani una kopo la 600,000 na hakuna mnunuaji.
 
Mnaongelea sijui router mara fiber,mara sijui ping ,mara pocket wifi ndo nini hivi tueleweshane basi, na hivi zile kama antenna nazo ni nini??
Fiber = internet inayo kuja na waya
Router = kifaa kinachibadilisha internet ya waya ama line ya simu kuwa wifi
Pocket wifi = router ambayo unatembea nayo na rahisi kuibeba
Ping = muda ambao unawasiliana na server hadi kujibiwa, unaweza ukawa na download speed kubwa ila kama ping ni mbovu basi kuna baadhi ya task zinakua slow.
 
Nje ya mada kidogo wajameni mara nyingi nimekuwa nikipata sms kutoka tigo kiwa simu yangu ina uwezo wa eSIM kwamba niende kweny maduka yao ili kujisajili niitumie huduma ya hiyo swali langu ni je?

Simu yangu ni Tecno Camon 20 pro ina hii huduma ya eSIM kweli? kama tigo wanavyoniambia?? Kwa anaefahamu au anaejua aniangalizie maana naogopa kupoteza mda kwenda kumbe iwe haina, Asanteni sana wadau na karibuni kwa majibu.. Naachia laini.
 
Nje ya mada kidogo wajameni mara nyingi nimekuwa nikipata sms kutoka tigo kiwa simu yangu ina uwezo wa eSIM kwamba niende kweny maduka yao ili kujisajili niitumie huduma ya hiyo swali langu ni je?

Simu yangu ni Tecno Camon 20 pro ina hii huduma ya eSIM kweli? kama tigo wanavyoniambia?? Kwa anaefahamu au anaejua aniangalizie maana naogopa kupoteza mda kwenda kumbe iwe haina, Asanteni sana wadau na karibuni kwa majibu.. Naachia laini.
Wala usijisumbue kwenda Tecno bado hawana hiyo huduma ya esim
 
Back
Top Bottom