Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Samahanini kwa kuchelewa kuleta mrejesho kuhusu routers za bure Airtel eti kwamba unalipia kifurushi Tu. Nilipitia matatizo sikuweza kwenda ofisin Airtel juz tarehe 3 nimeenda wakasema hatukuelewana nikaona ni miyeyusho Tu. Nikawaambia nitarudi kuchukua hiyo ya 110k.
Kabla sijafanya maamuzi naomba ushauri kuhusu 5g ya Airtel na 5g ya voda nichukue ipi. Mm nipo mwanza mini lakin wote hao hawajatufikia 5g. Hatuna huduma ya 5g mwanza mzima, lakin shinyanga na musoma IPO tayari (nimeshangaa kwa kweli jiji kukosa hii huduma) lakin router zao zipi changamoto sijajua nichukue ipi isio sumbua mambo ya kupoteza signal pia nataka router yenye power bank Airtel hapa kaniwin sijajua Vodacom kama Wana router yenye powerbank.

Pia naomba msaada wa nje ya mada, katika kusoma comment nilipo ishia nimekutana na comments zinazoelezea mambo ya seeds ukiwa unapakuwa movie naomba kujua hizo seeds ndo nini? Ntatumia stremio muda kupakua season na muvie lakin sijui seeds ndo nini.

Pia naomba msaada kwa watumiaji wa stremio kupata torrent ya kudownload movie za kibongo na kiafrika kama hizi kwenye link au sehemu yeyote pakuzipata nidownload Advanced search asanteni
Mkuu seed NI watu wenye io file na wanaweza kushare nayoyote anaye litaka (download) kutokana na mfumo wa torrent kuwa ni p2p (mtu na ntu )yaani file aliwi hosted kwa server Bali ao seeders ndo wanaokuwa nahilo file(movie,tv show etc) na ppia torrent client zinakuwa zinadownload kutokana kwa multiple seeders

Kupata bongo muvi huko NI mtiti wabongo hatuna wanao fanya kurip kwenye hizo site/decoder na kuupload huko torrent ila kadri bando zinavo shuka hizi unlimited tutafika tu huku
 
Mkuu seed NI watu wenye io file na wanaweza kushare nayoyote anaye litaka (download) kutokana na mfumo wa torrent kuwa ni p2p (mtu na ntu )yaani file aliwi hosted kwa server Bali ao seeders ndo wanaokuwa nahilo file(movie,tv show etc) na ppia torrent client zinakuwa zinadownload kutokana kwa multiple seeders

Kupata bongo muvi huko NI mtiti wabongo hatuna wanao fanya kurip kwenye hizo site/decoder na kuupload huko torrent ila kadri bando zinavo shuka hizi unlimited tutafika tu huku
Asante Kaka, samahan tena lakini hizo movie zilizo kwenye link sio bongo movie za kawaida na ukizisachi kwenye stremio zipo tatizo ni torrent maalumu ya kuzipakua ndo sijajua, hata mamuvi ya kizungu yapo mengi ukisachi lakini hayana torrent ya kuzipakua mimi naamini hizo movie zinapakulika shida ni torrent naombeni mnisaidie hapo
 
Wenye laini ya tigo tuma BURE kwenda 15166 Kuna gb za bure hapo
Hata Mimi sijazipata, labda offer inachagua laini na laini
Screenshot_2024-01-06-22-53-05-957_com.google.android.apps.messaging.jpg
 
Asante Kaka, samahan tena lakini hizo movie zilizo kwenye link sio bongo movie za kawaida na ukizisachi kwenye stremio zipo tatizo ni torrent maalumu ya kuzipakua ndo sijajua, hata mamuvi ya kizungu yapo mengi ukisachi lakini hayana torrent ya kuzipakua mimi naamini hizo movie zinapakulika shida ni torrent naombeni mnisaidie hapo
Unblockit - Access your favourite blocked sites pita kwenye hizo site zilizomo umu labda utabahitika ,pia na wasiwasi io stremio itakua inapull info (cast,plot) kutoka imdb kwani ulivosearch umewza kuziplay.
Mimi situmii io stremio
 
Dah!kumbe walikua wanakilia timing wakipige chini!kwahiyo now voda na airtel vifurushi vyao vya unlimited ni vya 115000 tu!?
me kwangu airtel cha 70k kipo ndiio natumia na nilipewa maelekezo kwa nini cha 70k kwa wengine hakipo.
ukitka upate kwa ela chini ya 270k utapata mwezi mmoja then cha mbele ni 110k kwa maana unaungwa upande wa enterprise
 
me kwangu airtel cha 70k kipo ndiio natumia na nilipewa maelekezo kwa nini cha 70k kwa wengine hakipo.
ukitka upate kwa ela chini ya 270k utapata mwezi mmoja then cha mbele ni 110k kwa maana unaungwa upande wa enterprise
Mkuu coverage internet ya airtel kwa dar nje ya mji ndani ndani huko unafahamu iko vipi?

Maana next week naweza kuchukua hiyo router yao halafu isinipe ninachotegemea
 
Samahanini kwa kuchelewa kuleta mrejesho kuhusu routers za bure Airtel eti kwamba unalipia kifurushi Tu. Nilipitia matatizo sikuweza kwenda ofisin Airtel juz tarehe 3 nimeenda wakasema hatukuelewana nikaona ni miyeyusho Tu. Nikawaambia nitarudi kuchukua hiyo ya 110k.
Kabla sijafanya maamuzi naomba ushauri kuhusu 5g ya Airtel na 5g ya voda nichukue ipi. Mm nipo mwanza mini lakin wote hao hawajatufikia 5g. Hatuna huduma ya 5g mwanza mzima, lakin shinyanga na musoma IPO tayari (nimeshangaa kwa kweli jiji kukosa hii huduma) lakin router zao zipi changamoto sijajua nichukue ipi isio sumbua mambo ya kupoteza signal pia nataka router yenye power bank Airtel hapa kaniwin sijajua Vodacom kama Wana router yenye powerbank.

Pia naomba msaada wa nje ya mada, katika kusoma comment nilipo ishia nimekutana na comments zinazoelezea mambo ya seeds ukiwa unapakuwa movie naomba kujua hizo seeds ndo nini? Ntatumia stremio muda kupakua season na muvie lakin sijui seeds ndo nini.

Pia naomba msaada kwa watumiaji wa stremio kupata torrent ya kudownload movie za kibongo na kiafrika kama hizi kwenye link au sehemu yeyote pakuzipata nidownload Advanced search asanteni

hyo link ya airtel itaonesha minara iliyokarbu na wewe mnara ukiwa mbali sana performance inapungua
 
Back
Top Bottom