GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Wadau mtakumbuka kwamba huyu mheshimiwa Dr. Omar Ali Juma alikuwa makamu wa rais wa JMT na ghafla mwezi Julai mwaka 2001 wakati wa maadhimisho ya Sabasaba baada ya kutembelea maonesho hayo akionekana mwenye afya nzuri kabisa, alfajiri ya tarehe 5 Julai ndo tulitangaziwa kwamba alikuwa amefariki dunia kwa shinikizo la damu. Hata hivyo, baadae yalisemwa mengi kuhusu kilichosababisha shinikizo hilo la damu. Wengine wanadai kwamba aliauawa. Sasa nakuja kwenu wadau, hivi kifo hiki kilisababishwa na nini hasa? Karibuni tufunguke kila mtu kile anachokijua kabla sheria yao haijaanza kutumika. Nawasilisha.
kwani kale kasheria ketu kapya kameshaanza kutumika effectively? au?