Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,579
Ongeza na Chattle Master hapoKumekuwepo na maneno ambao hayajawahi kukanushwa wala kusibitishwa na viongozi wa serikali ya CCM juu ya vifo vya viongozi mbalimbali waliowahi kushika nyazifa za juu kwenye serikali ya CCM. lakini walikuja kufa kwenye mazingira ya kimagumashi/ kutatanisha hasa baada ya kuhitirafiana na CCM na wananchi kuituhumu serikali kuwa ilihusika kuwaua viongozi hao vipenzi vya watanzania walio wengi.
Sasa ni wakati mwaka kutueleza kinaga ubaga juu ya vifo hivi maana kuna wengine wako njiani ambao wamekuwa wakitajwa tajwa kuwekewa sumu na serikali ya CCM na wenyewe kukiri tofauti na walio tangulia mbele ya haki
Kama ifatavyo
Orodha inaendelea
- Karume
- Edward Moringe Sokoine
- Kighoma Malima
- Horace Kolimba
- Imrani Kombe
- JK Nyerere
- Salome Mbatia
- Dkt. Omari Ali Juma