Na mavitambi yale wataogeleaje..hovyo kabisa
kama huna cha kuchangia then keep quit!
Na mavitambi yale wataogeleaje..hovyo kabisa
You may have a point lakini ni kuwa hujui unachokisema. Hivi unafikiri ku-train a soldier kuogelea ni kumwambia nenda kajitupe baharini? NO thank you. Package ya kuruta ni fully packed kiasi kwamba utahitaji kuongeza muda wa mafunzo kwa ajili tu ya basic swimming skills. Baada ya kuruta askari wote hutawanywa vikosini. Hivi unaelewa dispersion ya vikosi vyetu? Au unadhani vyote viko Dar Es Salaam? Kama kuogelea ndio unakokuona ni uaskari zaidi kwa nini basi usipiganie askari wa Navy ndio wapelekwe Darfur? Kesho utasikia kuna askari wamefariki kwa ajali ya chopper, utaanzisha mada nyingine kutaka kujua ni kwa nini askari hawafundishwi parachute. Wakipinduka utahoji ni kwa nini hawajifunzi kuruka kwenye magari! Hivi unajua kwamba ili nchi iruhusiwe kupeleka askari kwenye mission za UN ni lazima itimize vigezo fulani ikiwamo aina na kiwango cha mafunzo? Je, kuogelea ni sehemu ya hitaji la askari ili akatumike Darfur? Ingawa mambo yote yanaathiriwa na siasa, si kila kitu ni siasa.
Mpaka hapo Nimeamua kwamba huna lolote ulijualo kuhusu majeshi. Wewe ni vuvuzela tu kama baadhi ya wanasiasa. Ila just to warn you, Kikosi sha Tz huku Darfur ndicho kinachoheshimika kwa kuwa highly trained na very professional katika majukumu yao. Every UN staff wishes they had Tanzanians around them. Nabii hakubaliki... Nawaacha na uvuvuzela wenu na huo utumwa wa kudharau kwenu. Careless talks!
Silent Burner,Inapotokea gari lolote lenye watu ndani limesombwa na maji ghafla, hata wanaojua kuogelea kama wako ndani wanaweza wasiweze kujiokoa kwa kutegemea ujuzi wao huo wa kuogelea kwa sababu huenda wasiweze kupenya kutoka nje au wakatoka wamejeruhiwa wasiweze kuogelea.
Vivyo hivyo kwa gari la kivita ambapo pengine dreva au crew mwingine anabidi aingie na kujiweka katika nafasi yake kwa kufuata utaratibu fulani kutokana na mpangilio wa vifaa na zana ndani ya gari - pengine si rahisi kurukia kwenye kiti na kuruka kutoka kwenye kiti. Hii ndio sababu tumeelezwa wapo walioweza kujiokoa na wengine wakanasa ndani ya gari au wakatoka wakiwa wameumia kiasi cha kushindwa kuogelea.
Hivyo kwa vifo vya Dafur, kujua au kutokujua kuogelea kunaweza kusiwe ni ishu.
You thought it was a topic to provoke thought about Darfur and what else, Afghanistan?I thought this is a thread to provoke thoughts from great thinkers and not specifically targeting the darful incident alone.
You thought it was a topic to provoke thought about Darfur and what else, Afghanistan?
Sabayi,Wakuu natamani mngejua ni jinsi gani jeshi letu linaheshima katika international Peace keeping missions kama zile za Lebanon na Darful copy me they are well trained,professionals and Most respected ni nchi chache sana za Africa zinafikia viwango vya JWTZ
I discourage all answers which intimidate one another let's educate/inform each other
Mkuu gobore
Suma Sec guards ni nini? Swala la kupigwa cha juu jeshini ni Kweli wakubwa wanawaonea sana askari wadogo kwenye swala la Malipo sio hayo ya nje tu hata mengine ya ndani ambayo ni haki zao na ukizingatia nidhamu ya jeshi ni vigumu kwa hawa wadogo kulalamika na kusikilizwa,hawana pa kusemea tukiamua tunaweza kulitumia hili jukwaa kuwasemea kumbuka kuwa hawa ndo watendaji/wapiganaji wakuu wakikatishwa tamaa na Akina Shimb......o na tamaa zao za utajiri ipo siku kama taifa tutakuja kuaibika
Hata Marekani na Uingereza si kila askari ni bingwa wa kuogelea ingawa kama hapa kwetu wapo wa kitengo hicho yaani Navy Forces. Isitoshe vifo vya maji vinategemea mazingira yaliyomkuta mhanga kwani yapo mazingira kadhaa ambayo hata kama anajua kuogelea kiasi gani; kifo kinaweza kisiepukike.Hawajui kuogelea! Sasa huko ziwa nyasa si watakwisha wote
Inawezekana weekend imeshika kasi...mkuu Nyenyere, mimi nimeamua kuwa mwanafunzi mtii maisha yangu yote. Ntajifunza tena kwa bidii ili nifahamu lolote lile nalo taka kulifahamu.Sijawahi kuwa mjuaji na hiyo sifa naachia wenyewe kwa raha zenu.Kwa maana hiyo basi nauliza ili nielewe kitu nisichokielewa kwa nia nzuri tu.
Majadiliano haya si ya kulidhalilisha jeshi kama unavyotaka kusema. Soma uelewe vizuri. halafu kwanini mnapenda kuwa na watu wanaowapigia makofi tu na kuwasifia na kuwabeza wanaotaka kuangalia mambo broadly? Inamsaidia nani?
Napata shaka kama wewe ndio unataka kuwadhalilisha wanajeshi wetu maana hutaki kitu chochote kiongelewe zaidi ya sifa za kijinga zisizoleta tija yoyote. Weekend njema mkuu.