Mkuu Nyenyere
Hivi ukipeleka vikosi kwenye peace keeping missions vifaa unatoa wewe au unapewa na UN? Kama unatoa wewe are you paid by UN? I'm just asking to know
Sabayi,Ndahani na Jokakuu
Nina uhakika hamna mahali humu ambapo nimemjibu mtu vibaya JF ni jukwaa ninaloliheshimu sana kwakujua binafsi ni jinsi gani nimeelimika na kuwa informed toka humu ndani na siamini katika kufunika mijadala kwa kisingizio cha usalama wa taifa au kuwa ni haki ya watu fulani tu (hasa huko kwenye corridors zao) kuzijadili.
Msimamo wangu kwenye hii thread ni kuwa tusiwahukumu vijana wetu waliokufa kuwa hawajui kuogelea na tusihukumu trainings za jeshi letu kwa kuwa tu wanajeshi wetu wote hawajui kuogelea sijui ni asilimia ngapi ya mazingira yetu ya kazi za jeshi zinawakutanisha wanajeshi wote na maji nasisitiza kuwa matukio ya Darful na Comoro iwe wake up call kwa trainings za jeshi letu kuangalia umuhimu wa kuaccomodate hichi kitu kwenye trainings zao ila kumbukeni kuna nchi nyingi sana tunazozitrain africa kwenye masuala ya kijeshi na huu ni uthibitisho kuwa trainings zetu ni nzuri tunachokosa sasa hivi kwenye jeshi letu ni vifaa vya kisasa hasa kwenye air command kama mliona statistics za vifaa vya anga vya majeshi ya Africa kwenye The East Africa la last two weeks if I'm not mistake Tanzania hatuna air command nzuri na vita vya siku hizi ni vya anga zaidi infantly inapitwa na wakati na sina uhakika na level ya uzalendo hasa wa viongozi wetu wa jeshi inaonyesha wapo busy kujilimbikizia mali kwa kuwaibia askari wadogo kuliko kulimodernisi jeshi letu
Sabayi,
..I am 100% with u kwamba umekuwa mstaarabu wakati wote wa mjadala huu.
..aliyetaka kuchafua hali ya hewa ni Nyenyere, lakini sisi ni watu wazima hakiharibiki kitu hapa.
..hapana, hatuna nia ya kulidhalilisha jeshi letu, au vijana waliopoteza maisha. tunachotaka kujua ni kama TAIFA liliwapa everything they needed ku-accomplish their mission. hapa tunazungumzia mafunzo na vifaa.
..again, sisi sote tunajivunia jeshi letu. Lets be honest, what else Mtanzania wa sasa hivi anaweza kujivunia zaidi ya jeshi letu?
..maswali yangu yalikuwa na nia ya kuboresha siyo kubeza.
Mkuu Nyenyere
Hivi ukipeleka vikosi kwenye peace keeping missions vifaa unatoa wewe au unapewa na UN? Kama unatoa wewe are you paid by UN? I'm just asking to know
Oh! Kumbe makomando wetu uvaa red beret?! Ndahani, umeona jibu lingine?
Wewe ungekuwa na uzalendo wa kiwango hicho ungedharau uvunjaji matofali wewe? Unaudhi kweli kweli. Lete constructive criticism. Ama unadhani military ni digital? You are very wrong my friend. There is no replacement for physical ability. Haya ya matofali hata huko USA mpaka leo YAPO whether you like it or not!! You better learn something.
JWTZ ni highly celebrated katika mission zake. Wakati wajuaji hapa JF wanahoji uwezo wao wa kimafunzo na vifaa, huku UN wanashawishi liongeze vikosi vingine zaidi kwa sababu ubora wake ni exceptional, believe me! Na kuhusu vifaa, tuzungumzie hapa nyumbani, lakini mission za UN sio uswazi. Kama hauna vifaa vyenye viwango vinavyotakiwa huruhusiwi ku-deploy. Na kuna regular inspection kuhakikisha vifaa vyote viko up to std.
Mimi naudhika sana na lugha kama "wapasua matofali wetu." Sivumilii lugha mbovu kama hiyo. I cherish my military.
SUMA JKT Security Guards, ni private company ya ulinzi inamilikiwa na jeshi, ni mpya na walinzi wake wanatrai JKT, Kwa sasa wanalinda baadhi ya strategic places za serikali tu ila in coming days hata watu binafsi mnaweza kuwakodi haswa Mabenki ndo target ya hii biashara kwasababu kimfumo Benki hazitakiwi kulindwa na Polis bali "Private Guards" Hawa wanashirikiana kwa karibu na Auxilliary Police. Wapo kivukoni, bandari na Udom nasikia inalindwa na hawa watu
Ndahani
I agree that this thread should provoke great thoughts
Kwa muundo na mfumo wa mafunzo wa jeshi letu sasa hivi ni ngumu wanajeshi wote kujua kuogelea inabidi kubadilisha kabisa mfumo wa mafunzo na bado nakubaliana na wanaosema kuwa inawezekana kujua kuogelea na bado ukafa maji.
Muundo na mfumo wa mafunzo wa jeshi letu ni wa kizamani hauendani na dunia ya leo yenye majeshi ya kisasa yenye technolojia ya hali ya juu lakini hatuwezi kubeza juhudi,ukakamavu,uzalendo na kujitolea kwa hali ya juu kwa wanajeshi wetu wanaofanya kazi katika mazingira magumu na kwa technolojia duni.
my neighbor has no fence, nor is anybody in this side of the tracks. You missed the lesson about suggesting cake for breakfast....about your neighbor's fence
my neighbor has no fence, nor is anybody in this side of the tracks. You missed the lesson about suggesting cake for breakfast.
Wakuu natamani mngejua ni jinsi gani jeshi letu linaheshima katika international Peace keeping missions kama zile za Lebanon na Darful copy me they are well trained,professionals and Most respected ni nchi chache sana za Africa zinafikia viwango vya JWTZ
..Comoro tulipoteza askari mmoja.
..tena hata mwili wake haukupatikana.
..sasa Darfur nako tumepoteza askari wengine.
..kwa mtizamo wangu matukio haya yamelitia doa jeshi letu.
..ingekuwa tumepoteza askari hao ktk MAPAMBANO vifo hivi vingeeleweka.
..tatizo ni kwamba Comoro, na Darfur, wanasema ni matukio ya ajali.
..jambo lingine linalokera ni kitendo chetu cha kushindwa kuurejesha mwili wa askari aliyefariki Comoro.
..kwa majeshi ya wenzetu wanamsemo wao, "Every soldier must come home."
..hivi askari wetu wote waliofariki nchi za nje, miili yao imerejeshwa nyumbani na kuzikwa kwa heshima
wanazostahili??
Nyenyere,Kwani hawa wamekufa wakiwa picnic? Au mapambano ni mpaka wangekufa kwa kupigwa risasi? Hivi unajua kweli unachokiongea?