..Comoro tulipoteza askari mmoja.
..tena hata mwili wake haukupatikana.
..sasa Darfur nako tumepoteza askari wengine.
..kwa mtizamo wangu matukio haya yamelitia doa jeshi letu.
..ingekuwa tumepoteza askari hao ktk MAPAMBANO vifo hivi vingeeleweka.
..tatizo ni kwamba Comoro, na Darfur, wanasema ni matukio ya ajali.
..jambo lingine linalokera ni kitendo chetu cha kushindwa kuurejesha mwili wa askari aliyefariki Comoro.
..kwa majeshi ya wenzetu wanamsemo wao, "Every soldier must come home."
..hivi askari wetu wote waliofariki nchi za nje, miili yao imerejeshwa nyumbani na kuzikwa kwa heshima
wanazostahili??
..tena hata mwili wake haukupatikana.
..sasa Darfur nako tumepoteza askari wengine.
..kwa mtizamo wangu matukio haya yamelitia doa jeshi letu.
..ingekuwa tumepoteza askari hao ktk MAPAMBANO vifo hivi vingeeleweka.
..tatizo ni kwamba Comoro, na Darfur, wanasema ni matukio ya ajali.
..jambo lingine linalokera ni kitendo chetu cha kushindwa kuurejesha mwili wa askari aliyefariki Comoro.
..kwa majeshi ya wenzetu wanamsemo wao, "Every soldier must come home."
..hivi askari wetu wote waliofariki nchi za nje, miili yao imerejeshwa nyumbani na kuzikwa kwa heshima
wanazostahili??