Vifo vya Comoro na Darfur: Hivi JWTZ wanafundishwa kuogelea??

Mapambano yanaanza pale askari wanapoingia anga ya Sudan. Hivyo muda wote wanapokuwa Sudan wako katika mapambano.

Battle-mapambano
Action-?????
Mision-Overall task

Killed in battle/Killed in action nadhani ndo alichomanisha mkuu JokaKuu na sio kufa tu afta wameingia airspace ya Sudan

Niambie mjeshi akifa kwa malaria Darful atakua kafa mapambanoni? Lets say accidental discharge ya fiream yake mwenyewe inakua KIA hiyo?

Mimi napinga labda unieleze zaidi
 
Last edited by a moderator:
Kuna baadhi ya wanajeshi wamerudi Durfur millionea

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Battle-mapambano
Action-?????
Mision-Overall task

Killed in battle/Killed in action nadhani ndo alichomanisha mkuu JokaKuu na sio kufa tu afta wameingia airspace ya Sudan

Niambie mjeshi akifa kwa malaria Darful atakua kafa mapambanoni? Lets say accidental discharge ya fiream yake mwenyewe inakua KIA hiyo?

Mimi napinga labda unieleze zaidi

There is no defined battle line during civil war. Ndio maana unapoingia tu eneo husika umo ndani ya uwanja wa mapambano. Na ndio maana kila unapoingia tu Sudani amri za mapigano zinasomwa zikihusisha pia ajali zinazoweza kutokea ndani ya uwanja wa mapambano. Why? Kwa sababu ajali zaweza tokea popote, na baadhi ya super humans kama ninyi mkadai hamtwki kuelewa mpaka labda vingetokea kwa risasi. Who are you to take such an unreasonable stand?


[h=1]Humvee accidents cause of one-third of military fatalities, Hopkins analysis finds[/h]



August 31, 2012|By Andrea K. Walker
Crashes of military vehicles account for nearly one-third of annual soldier fatalities and are among the top five causes of hospitalization, according to new Hopkins research.
Researchers with the Johns Hopkins Center for Injury Research and Policy examined the risk factors for injuries to U.S. soldiers from crashes of Humvees and founded the greatest risk of danger came to the driver or gunner of the vehicle.

Nearly half of all those involved in motor vehicle crashes in Iraq, Kuwait, and Afghanistan from 2002 to 2006 were in Humvees at the time of the crash," said principal investigator Keshia Pollack, an associate professor with the Johns Hopkins Center for Injury Research and Policy and the Johns Hopkins Bloomberg School of Public Health. "It's critical that we consider risk factors for these crashes, and use this knowledge to develop injury prevention programs and policies.
 
Davie usigerelalise tu kuwa kuna wanajeshi wamerudi milionares ujue kuna wengine pia wamerudi vilema! Wengine kwenye body bags, Hao milionares ni wangapi? Acha kabisa hayo maneno hiyo ni insult kwa wapiganaji wetu ambao wengi wao wanakwenda kule kwa ajili ya vitu viwili vikuu! Kulinda human dignity na Honour ya nchi na ya sisi kama binadamu! Hela ni secondary mkuu
Nyenyere ni kweli amri za mapambano zinasomwa ukiingia Sudan tu ila si kweli kuwa hamna defined battles kule! I have been to Khartoum ambako kuna Green zone kabisa na bizness inaendelea as usual! Nimekwenda mpaka battlefield Nyala huko mpaka Khordofan na sio kwamba kila sehemu nikuna mapambano,sehemu za kuengage kwenyebattle zipo na zinajulikana! Kwahiyo si kweli kuwa wale wameuliwa in Action, wamekufa wakati wa normal patrol kwa ajali, they are our heros because they dared to show the world wat realy meant to be Tanzanian andwhat we stand for lakini hawakokwenye kundi la KIA hata kidogo, ushawishi wako bado hauna mashiko

NB
Angalia post zangu zote hamna sehemu nimesema mimi ni super human, tunajaribu kuchambua tu kutokana na uelewa tulionao na kutofautiana niswala la kawaida

Pamoja mkuu
 
Last edited by a moderator:
Davie usigerelalise tu kuwa kuna wanajeshi wamerudi milionares ujue kuna wengine pia wamerudi vilema! Wengine kwenye body bags, Hao milionares ni wangapi? Acha kabisa hayo maneno hiyo ni insult kwa wapiganaji wetu ambao wengi wao wanakwenda kule kwa ajili ya vitu viwili vikuu! Kulinda human dignity na Honour ya nchi na ya sisi kama binadamu! Hela ni secondary mkuu
Nyenyere ni kweli amri za mapambano zinasomwa ukiingia Sudan tu ila si kweli kuwa hamna defined battles kule! I have been to Khartoum ambako kuna Green zone kabisa na bizness inaendelea as usual! Nimekwenda mpaka battlefield Nyala huko mpaka Khordofan na sio kwamba kila sehemu nikuna mapambano,sehemu za kuengage kwenyebattle zipo na zinajulikana! Kwahiyo si kweli kuwa wale wameuliwa in Action, wamekufa wakati wa normal patrol kwa ajali, they are our heros because they dared to show the world wat realy meant to be Tanzanian andwhat we stand for lakini hawakokwenye kundi la KIA hata kidogo, ushawishi wako bado hauna mashiko

NB
Angalia post zangu zote hamna sehemu nimesema mimi ni super human, tunajaribu kuchambua tu kutokana na uelewa tulionao na kutofautiana niswala la kawaida

Pamoja mkuu

Hongera sana kwa uzoefu wako wa Nyala. Hebu tutajie tu kwa pale Nyala au Muhajeria au Khor Abeche ni wapi yalipo maeneo ya mapigano? Mbona unaleta uongo? Tunaposema defined battle line ni kwamba wao wako upande ule, na sisi tuko upande huu. Halafu Khartoum sio Darfur, we nani kakwambia kuna vita huko? Ulijaribu kuongea na watu wa hapo Khartoum? Baadhi watakueleza kuwa hawajui kama Sudan kuna vita!

Hizo green zone zako nani alikwambia zina usalama asilimia mia? Mbona basi askari wanatembea mpaka chooni wakiwa na silaha? Ni mara ngapi pamevamiwa hapo? Kwa taarifa yako hizo unazoziita green zone ni makambi wanamoishi UN staffs na wanajeshi na ziko fortified. Ulinzi wake ni mkali sana na kila askari humo anatembea na silaha yake 24/7. Why? KKama hiyo haitoshi, ukichomoa pua yako tu nje ya hizo reinforced walls unaweza pigwa shaba wakati wowote, mahali popote, toka upande wowote!Sasa hao askari walikufa ndani ya hiyo green zone? Hiyo business as usual ndani ya green zone ndo ipi?

Normal patrol? You make me laugh! Zinaitwa presence patrol. Hilo ndilo jukumu la msingi la mlinzi wa amani. Na hizo patrol kwani wanakwenda wakiwa wamevaa matrack suit? Au mikononi mwao wanakuwa wakibonyezabonyeza simu kuchati na wapendwa wao bongo? Ndiko huko wanapokutana na ambushes.

Mie siongei kukushawishi, naongea kile nikijuacho.

By implication. Unapodai hutaki vifo vya ajali labda mpaka KIA una maana gani?

SWALI: Ni wakati gani askari anahesabiwa kuwa kwenye uwanja wa mapambano huko Sudan?
 
Nyenyere tungekua kwenye forums zingine ningekumwagia data zaidi ila kwa hapa ntaishia katika hayo niliyoyasema tu! Huko Muhajera,Khor Abeche,mwanawashi kote huko wala sio kwenye action ndugu yangu! Tena wakati wa batt 1 na 2 huko walikua wanaachwa FFU tu walio na Mps wazee wa kazi walikua wanaenda maeneo mengine kabisa kule ndo watu wanapigana! Nadhani saivi wako Wamisri kule! Huko ndo kuna real Action, thats why nakwambia defined battle lines zipo

Kutembea na silaha kila sehemu hata Gsu wa kenya mombasa wanatembea nazo kila sehemu lakini ktk level bado haijafikia level ya kuitwa "uwanja wa mapambano" in military context

........Unazidi kujichanganya kaka presence patrol is it tactical task? Are they allowed ro raid?attack/ambush au they are more in protective position?

........Normal patrol(Ina jina lake ila sitaitaja kwa sababu kadhaa) ambayo wewe unaiita presence patrol(which is something else) inafanyika hata kwenye makambi kawaida tu, sasa niambie kuwa askari pale kigamboni yuko lindo(Amebeba bunduki ofcourse maana wewe ndo urguement yako) akateleza amezama baharini akafa je hapo amekufa mapambanoni?

Narudia tena hamna sehemu nilipomanisha kuwa wale walikua wazembe au wamekufa kizembe na tena ni mimi ndo nimewatetea kuwa haikua lazima wawe wataalaam wa kuogelea na kwa taarifa yako waliojaa kule ni engineers na ndio maana unakuta watanzania wapo karibia katika kila batt za nchi nyingine! Watz kule ndo wanaongoza kwenye maintanance ya vifaa na infrastructure watu wa Rec wapo wachache sana na pengine waliishia kwenye 5 na Rec ndo wataalam wa hiyo Presence patrol you are talking about

Ukitaka facts zaidi tuongelee uzembe wa Comoro sio hii Darfur kwakua I agree ni ajali ila pia napinga hawakua kwenye battle

Na mimi hivyo ndo ninavyofahamu
 
Last edited by a moderator:
Nyenyere tungekua kwenye forums zingine ningekumwagia data zaidi ila kwa hapa ntaishia katika hayo niliyoyasema tu! Huko Muhajera,Khor Abeche,mwanawashi kote huko wala sio kwenye action ndugu yangu! Tena wakati wa batt 1 na 2 huko walikua wanaachwa FFU tu walio na Mps wazee wa kazi walikua wanaenda maeneo mengine kabisa kule ndo watu wanapigana! Nadhani saivi wako Wamisri kule! Huko ndo kuna real Action, thats why nakwambia defined battle lines zipo

Kutembea na silaha kila sehemu hata Gsu wa kenya mombasa wanatembea nazo kila sehemu lakini ktk level bado haijafikia level ya kuitwa "uwanja wa mapambano" in military context

........Unazidi kujichanganya kaka presence patrol is it tactical task? Are they allowed ro raid?attack/ambush au they are more in protective position?

........Normal patrol(Ina jina lake ila sitaitaja kwa sababu kadhaa) ambayo wewe unaiita presence patrol(which is something else) inafanyika hata kwenye makambi kawaida tu, sasa niambie kuwa askari pale kigamboni yuko lindo(Amebeba bunduki ofcourse maana wewe ndo urguement yako) akateleza amezama baharini akafa je hapo amekufa mapambanoni?

Narudia tena hamna sehemu nilipomanisha kuwa wale walikua wazembe au wamekufa kizembe na tena ni mimi ndo nimewatetea kuwa haikua lazima wawe wataalaam wa kuogelea na kwa taarifa yako waliojaa kule ni engineers na ndio maana unakuta watanzania wapo karibia katika kila batt za nchi nyingine! Watz kule ndo wanaongoza kwenye maintanance ya vifaa na infrastructure watu wa Rec wapo wachache sana na pengine waliishia kwenye 5 na Rec ndo wataalam wa hiyo Presence patrol you are talking about

Ukitaka facts zaidi tuongelee uzembe wa Comoro sio hii Darfur kwakua I agree ni ajali ila pia napinga hawakua kwenye battle

Na mimi hivyo ndo ninavyofahamu

Hujui lolote kuhusu peace ops na situation ya Darfur. Namaliza kukueleza kuwa wakati wa civil war hakuna defined battle line. Na UN haina "normal patrol" ila presence patrol. I switch off.


Copy of SLA CHILD SOLDIER.jpg JEM.jpg
 
Back
Top Bottom