Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
VIDEO - Vimombo Vya Wasanii Wabongo
Nyota wa filamu za Bongo, Steven KanumbaTuesday, September 22, 2009 4:04 PM
Libeneke la uwezo wa wasanii wa Bongo kutema ngeli limeendelea tena na mwanadada Sporah, Mtanzania anayeendesha shoo yake kwenye televisheni moja ya Uingereza ametoa video za wasanii wa kibongo kama vile Kanumba, AY, Mwana FA wakitema ngeli walipokuwa kwenye ziara zao za kisanii nchini Uingereza. Baada ya watu na baadhi ya vyombo vya habari vya Bongo kukiongelea na wengine kukiponda sana kimombo alichotema nyota mashuhuri wa Filamu za Bongo, Steven Kanumba wakati alipoalikwa kwenye Big Brother nchini Afrika Kusini, mwanadada Sporah Njau, mbongo anayeendesha shoo yake inayojulikana Sporah Show nchini Uingereza ametoa video hizi kuonyesha kwamba Kanumba hajachooka kiiivyo kwenye kutema ngeli kama alivyoongelewa na wabongo.
Sporah ametoa video za wasanii wa Bongo kama vile Ay, Mwana FA, Ali Kiba pamoja na Kanumba mwenyewe ambao aliwaalika kwenye shoo yake jijini London wakati walipofanya ziara zao za kisanii nchini Uingereza.
Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kuongea kiswahili kuepusha wadau msimnange sana na kiinglish chake.
Angalia video hizo chini.
Baada ya kuangalia video usikose kukipigia kura kipindi cha Sporah Show ambacho muandaaji wake Sporah Njau amechaguliwa kuwa mmoja wa watakaowania tuzo ya Best TV Presenter katika tuzo za BEFFTA Awards za nchini Uingereza ambazo hutolewa kwa watu weusi wanaotamba kwenye fani mbali mbali za muziki, filamu na fani nyinginezo kibao.
Kumpigia kura Sporah click link hii chini, baada ya kuandika jina na email yako nenda kwenye kijumba cha Category chagua Best TV Presenter halafu nenda kwenye kijumba cha chini cha Nominee mchague Sporah Njau. GONGA HAPA KUMPIGIA KURA SPORAH
VIDEO - Kanumba akilalamika jinsi wabongo wanavyomsema vibaya kwa sababu ya kimombo chake
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part I
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza PART II
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part III
VIDEO - Mwana FA na AY wakitema ngeli nchini Uingereza
VIDEO - Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kutema kiswahili nchini Uingereza
Video zake ziko chini
Nyota wa filamu za Bongo, Steven KanumbaTuesday, September 22, 2009 4:04 PM
Libeneke la uwezo wa wasanii wa Bongo kutema ngeli limeendelea tena na mwanadada Sporah, Mtanzania anayeendesha shoo yake kwenye televisheni moja ya Uingereza ametoa video za wasanii wa kibongo kama vile Kanumba, AY, Mwana FA wakitema ngeli walipokuwa kwenye ziara zao za kisanii nchini Uingereza. Baada ya watu na baadhi ya vyombo vya habari vya Bongo kukiongelea na wengine kukiponda sana kimombo alichotema nyota mashuhuri wa Filamu za Bongo, Steven Kanumba wakati alipoalikwa kwenye Big Brother nchini Afrika Kusini, mwanadada Sporah Njau, mbongo anayeendesha shoo yake inayojulikana Sporah Show nchini Uingereza ametoa video hizi kuonyesha kwamba Kanumba hajachooka kiiivyo kwenye kutema ngeli kama alivyoongelewa na wabongo.
Sporah ametoa video za wasanii wa Bongo kama vile Ay, Mwana FA, Ali Kiba pamoja na Kanumba mwenyewe ambao aliwaalika kwenye shoo yake jijini London wakati walipofanya ziara zao za kisanii nchini Uingereza.
Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kuongea kiswahili kuepusha wadau msimnange sana na kiinglish chake.
Angalia video hizo chini.
Baada ya kuangalia video usikose kukipigia kura kipindi cha Sporah Show ambacho muandaaji wake Sporah Njau amechaguliwa kuwa mmoja wa watakaowania tuzo ya Best TV Presenter katika tuzo za BEFFTA Awards za nchini Uingereza ambazo hutolewa kwa watu weusi wanaotamba kwenye fani mbali mbali za muziki, filamu na fani nyinginezo kibao.
Kumpigia kura Sporah click link hii chini, baada ya kuandika jina na email yako nenda kwenye kijumba cha Category chagua Best TV Presenter halafu nenda kwenye kijumba cha chini cha Nominee mchague Sporah Njau. GONGA HAPA KUMPIGIA KURA SPORAH
VIDEO - Kanumba akilalamika jinsi wabongo wanavyomsema vibaya kwa sababu ya kimombo chake
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part I
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza PART II
VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part III
VIDEO - Mwana FA na AY wakitema ngeli nchini Uingereza
VIDEO - Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kutema kiswahili nchini Uingereza
Video zake ziko chini
Last edited: