FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Aaaah jamani mtafutie english kozi sasa kishachemka tutafute namna ya kumhelp
bora hata kanumba form four mbona jk huwa anachemka chuo kikuu?ohoo nyie mnaomponda kanumba hamjawahi kuchemka?ohho then kwani hata kama anaongea kibovu kwani hamkuelewa msg?