MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,711
- 48,539
- Thread starter
- #21
Sio chini ya wanajeshi 3000 wa israel wameuawa dhidi ya HAMAS COMMANDOS, weka list ya Hamas waliouawa dhidi ya waporaji wa kizayuni!
Hapa utaniwekea ya watoto, wamama na wazee waliouawa dhidi ya waporaji wa kizayuni
List ndio nini, magaidi ya dini yenu yenyewe yametangaza kuwa mazombi yenu yameuawa 15,000 na ukumbuke kichapo bado kiko pale pale.