Video: Msemaji wa magaidi ya HAMAS alivyotupa mic baada ya kubanwa na swali la kwanini waliua kiholela

Sio chini ya wanajeshi 3000 wa israel wameuawa dhidi ya HAMAS COMMANDOS, weka list ya Hamas waliouawa dhidi ya waporaji wa kizayuni!

Hapa utaniwekea ya watoto, wamama na wazee waliouawa dhidi ya waporaji wa kizayuni

List ndio nini, magaidi ya dini yenu yenyewe yametangaza kuwa mazombi yenu yameuawa 15,000 na ukumbuke kichapo bado kiko pale pale.
 
List ndio nini, magaidi ya dini yenu yenyewe yametangaza kuwa mazombi yenu yameuawa 15,000 na ukumbuke kichapo bado kiko pale pale.
Hams kazi 7ao imetimia kiush8ndi.

Leo dunia nzima mnaelewa kinachiendelea huko.

Kabla ya hamas kutowa kichapo cha 7/10 ungekuwa unawaongelea Wapalestina leo hii?
 
Kutembelea ?...
Yes , kutembelea ardhi zao.
Wakazi wa Gaza zaidi ya 70% ni watoto wa wakimbizi waliokimbilia Gaza kunusuru maisha yao wakati majeshi ya Kigaidi ya kiyahudi ya Irgun na Hagannah yanavamia vijiji vya wapalestina na kuua watu kuelekea mwaka 1948 lilipoanzishwa taifa la Israel. Kwa hiyo Hamas kuvunja fensi na kuingia ndani ya Israel ni sawa na akina Kagame kurudi Rwanda kutokea Uganda. Wanarudi nyumbani!.
 
Yes , kutembelea ardhi zao.
Wakazi wa Gaza zaidi ya 70% ni watoto wa wakimbizi waliokimbilia Gaza kunusuru maisha yao wakati majeshi ya Kigaidi ya kiyahudi ya Irgun na Hagannah yanavamia vijiji vya wapalestina na kuua watu kuelekea mwaka 1948 lilipoanzishwa taifa la Israel. Kwa hiyo Hamas kuvunja fensi na kuingia ndani ya Israel ni sawa na akina Kagame kurudi Rwanda kutokea Uganda. Wanarudi nyumbani!.
Kwanini Palestine walikataa kuunda taifa lao huru pembeni ya Israel kabla ya mwaka 1967, badala yake wakapoteza muda kupambana kuifuta Israel ?
 
Jamani huyo mtoa tukiwambia kichaa mnabisha huyu anaye uliza swali lakijinga na wanafahamu wazi hata media za Israel zilisema Hamasi hakuwauwa wananchi ni jeshi la Israel kwa kuwa hawana experience ndio waliwauwa wananchi wao.

Hamasi hakuingia kwenye majumba isipokuwa yale yapo kwenye camp za jeshi na hata kuna wanawake wa Israel walisema hawakuwadhuru, huyo mulizaji si ndio kama cnn na bbc wanatunga uwongo.

Kuweka mic chini kaona anaongea si na muandishi wa habari isipokuwa kichaa anauliza swali lisilo kuwa na dalili.
Hao watoto na wazee na wanawake waliwachukua wapi?
 
Hao watoto na wazee na wanawake waliwachukua wapi?
Kwenye camp za jeshi kwani hakuna majumba mtu anaishi na Mama yake, au mke wake au watoto zake mle

Tatizo lenu mlidhani Hamasi alienda kwenye musical festivals Hamasi aende kwenye festivals? wakati kaingia amalize kazi yake haraka

Hivi hao waisrael wanadhani watu wote wajinga duniani kama walivyo wakristo wajinga
 
Nadhani aliogopa kutoa siri za Hamas hadharani, vinginevyo wanaweza kumkata kichwa!
 
Sasa hivi tunaongelea ushindi miubwa sana kwa Wapalestina.

Huyo mwandishi kaonekana poyoyo tu:

 
Jamaa alimumunya maneno na kujaribu kueleza kuwa hawakuua watu wasio wanajeshi ila alipohojiwa na kubanwa kwanini waliua familia za watu kwenye nyumba zao, watoto na akina mama, lizee likatokwa na jasho na kutupa mic, lilishindwa kujibu.
Ni aibu sana kwa mzee mtu mzima kama huyu kushindwa kuelekeza vijana kwenye matumizi bora ya dini na kusababisha maafa ambayo hatimaye yalijibiwa na wao wakafa 15,000


View: https://www.youtube.com/watch?v=VAva9VM38uA


View: https://www.youtube.com/watch?v=s5npeqgOx_M

Sishangai, hawa jamaa huwaga hawatumii akili na hawanaga majibu, ukiwabana sana wanakuua kwani wanaona unawaonea na kuwapendelea Wayahudi
 
Kwanini Palestine walikataa kuunda taifa lao huru pembeni ya Israel kabla ya mwaka 1967, badala yake wakapoteza muda kupambana kuifuta Israel ?
Unaweza kuleta ushahidi wowote kuwa kabla ya 1967 Wapalestina wamewahi Kuunda Jeshi la Kivita dhidi ya Israel?, ninachojua ni kuwa Jordan na Misri ndo zilikuwa zikinunua bifu na kupigana na Israel.
 
Back
Top Bottom